POMPO
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 6,690
- 2,400
Wakuu: Nimetua Songea (Nyumbi bombi)
Chama cha CCM kinazidi kujichanganya leo hii kinafanya mkutano mkubwa wa hadhara katika viwaja vya majengo, ambapo CHADEMA wanafanyia hapo mkutano wao baada ya maandamano ya zaidi ya km4, magari ya matangazo chameda yameshaingia na baadhi ya makamanda ili kuweka mambo sawa. cha ajabu CCM nao leo wanafanya mkutano wa hadhara kama kawaidi kila kata , mtaa kinamama na nguo zao za kijani pia fuso kubeba watu wa vijijini, hii inaashiria nini? Je ni kitengo cha propaganda CCM ama ni Mh. Nchimbi anataka kuhatarisha Amani? kazi kweli kweli...
Chama cha CCM kinazidi kujichanganya leo hii kinafanya mkutano mkubwa wa hadhara katika viwaja vya majengo, ambapo CHADEMA wanafanyia hapo mkutano wao baada ya maandamano ya zaidi ya km4, magari ya matangazo chameda yameshaingia na baadhi ya makamanda ili kuweka mambo sawa. cha ajabu CCM nao leo wanafanya mkutano wa hadhara kama kawaidi kila kata , mtaa kinamama na nguo zao za kijani pia fuso kubeba watu wa vijijini, hii inaashiria nini? Je ni kitengo cha propaganda CCM ama ni Mh. Nchimbi anataka kuhatarisha Amani? kazi kweli kweli...