Somo la unyenyekevu

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
15,417
24,420
IMG-20240509-WA0003.jpg


Hili ni somo kubwa kwa vijana.
Biteko ameonyesha kivitendo, unapopata cheo kikubwa, tusipandishe mabega!
 
Mtu mmoja muadilifu katikati ya panya road wengi inasaidia nini
Kwenye maigizo CCM wapo vizuri
1694500487237.jpg
 
Mwisho wa siku tunapata viongozi wajinga wajinga kisa ni wanyenyekevu hata kama kichwa kimejaa maji!
Nyie watu wajinga ndio hamjui hata namna ya kuishi , pindi fweza ya ghafla ikikuangukia au cheo ikubwa unapokipata.
Hamuishi kujikweza na kudharau wengine walio chini au juu yako.
 
Ccm chama chetu kimeshindwa kujinyenyekeza Kwa wananchi Kwa kuwachukulia hatua wezi,wabadhirifu wa fedha za umma ndio tulete maigizo Kwa kupigiana magoti Bungeni!!?

Tuache ujinga wakuu!
 
Back
Top Bottom