ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 44,488
- 51,308
Kwa mujibu wa data kutoka Tume ya Madini na Wizara ya Madini zilizowasilishwa Bungeni 2024 zimeonesha kwamba Soko la Madini ya Dhahabu la Chunya-Mbeya limechangia mabilioni kwenye Mapato ya Nchi na kuyapita masoko ya Mikoa Maarufu Kwa Madini ya Geita,Kahama na Mara.
Ikumbukwe kwamba Soko la Madini la Chunya linaendeshwa zaidi na wachimbaji wadogo ambapo Madini yenye thamani ya Zaid ya Bilioni 360 yaliuzwa na kuchangia Mapato ya Serikali Kwa zaidi ya Bilioni 25 za marhaba na ada za ukaguzi.
Masoko mengine ambayo yanafanya vizuri ni
1.Chunya
2.Geita
3.Kahama
4.Mbogwe
5.Mara
6.Shinyanga
7.Songwe
My Take
Mbeya imejaaliwa Kila aina ya utajiri
Ikumbukwe kwamba Soko la Madini la Chunya linaendeshwa zaidi na wachimbaji wadogo ambapo Madini yenye thamani ya Zaid ya Bilioni 360 yaliuzwa na kuchangia Mapato ya Serikali Kwa zaidi ya Bilioni 25 za marhaba na ada za ukaguzi.
Masoko mengine ambayo yanafanya vizuri ni
1.Chunya
2.Geita
3.Kahama
4.Mbogwe
5.Mara
6.Shinyanga
7.Songwe
My Take
Mbeya imejaaliwa Kila aina ya utajiri