King Sae
JF-Expert Member
- Mar 22, 2018
- 2,855
- 5,416
Maendeleo ya taifa yanategemea maemdeleo ya mtu mmoja mmoja.....na ifike hatua kila mtanzania ajue/apewe elimu ya pesa [uchumi] kulingana na uelewa wake yaani ile foundation...
Kila mwananchi awe na uweza wa kujua pato Lake,matumizi yake na faida yake...Mtu hajui hata kwa siku/wiki au mwezi anaingiza sh ngapi anatumia sh ngapi je, anaendesha maisha kihasara au kifaida...yupo tu kama mbuzi..!!
Embu fikira watu nane kati ya watu kumi...wanatumia zaid ya wanachotafuta[wanaishi kihasara],na watu wawili wana wanatafuta kingi zaidi ya wanachotumia[wanaishi kifaida]...afu wote wapo kwwnye nyumba moja,nini kitatokea apo..??
Kila mwananchi awe na uweza wa kujua pato Lake,matumizi yake na faida yake...Mtu hajui hata kwa siku/wiki au mwezi anaingiza sh ngapi anatumia sh ngapi je, anaendesha maisha kihasara au kifaida...yupo tu kama mbuzi..!!
Embu fikira watu nane kati ya watu kumi...wanatumia zaid ya wanachotafuta[wanaishi kihasara],na watu wawili wana wanatafuta kingi zaidi ya wanachotumia[wanaishi kifaida]...afu wote wapo kwwnye nyumba moja,nini kitatokea apo..??