Jestkilla
JF-Expert Member
- Apr 23, 2014
- 2,998
- 3,952
Dada yangu,wewe ukiangalia upo kwenye top of the food chain....hii ni Ponzi au Pyramid Scheme,aliepo mbele kwenye chain hatakaa aone tatizo..shida ni pale collapse ya mfumo mzima inapoanguka kwa one day....
Ni proven Pyramid Scheme mkuu.....Ufanyabiashara ni kujenga vitu au huduma na kuuza kutatua matatizo,huo ndio ujasiriamali...hizi technique za Ontario si sawa....Hua wanaanza kwa kuuza "Lifestyle" ya utajiri,anajijengea kua ana persona ya maisha mazuri mno,kuwavutia....Wote mnaoingia mpo nyuma yake kwenye food chain..
Ndio maana ma-role models wa bwana Ontario ni matapeli wa kutupwa wa Forex South Africa akina Ref Wayne mwenye kampuni yake ya Africa Forex Institute na sasa hivi amekuja na utapeli mwingine wa Pipcoin.....Huyu jamaa ni tapeli la kutupwa kabisa huko SA,kaiba hela ya Forex mno kwa kutumia hiyo scheme na wanachouza ni muonekano wa maisha mazuri na magari ya maana na kujijengea u-celebrity ili apate followers..Ref Wayne has been debunked over and over again kwa scheme yake (check hapa: Ontario hua anaenda SA kujifunza huu ufala ndio maana amejenga something like celeb status ili wapuuzi wamfate.
Ref Wayne is fake and Ontario is even fakier.
Na baada ya hii Forex watakuja na Ponzi Scheme ya bitcoin kama huyo Ref Wayne na Pipcoin yake....Just wait,when this Forex hotair is well exposed,Ontario and his goons will come up with some crazy bitcoin schemes.
Mimi kama mimi ndugu yangu wacha niendeleee kutapeliwa maana nina NYOTA ya kutapeliwa sana ya u walete hata Makinikiacoin sijui Ukawacoin me ntajiunga nikiona naweza kutapeliwa zaidi na zaidi halafy hii forex kwa mimi niliona before hapa Tz ilikua America kwahiyo wacha niendelee kutapeliwa tu hakuna namna na katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania hakuna sehem imesema huruhusiwi kutapeliwa na Forex kwahyo basi naona sijavunja sheria yoyote Na pesa nimepewa na baba angu na mama yangu nitatapeliwa mpaka siku dunia inafunga MT4 kua no lonher forex in the world baaasi. Toka saa saba usiku mpaka muda huu nimeisha watapeli mabroker kama $537. target ijumaa niwe nimewatapeli wao $3500 nataka kununua iMac sasa nimechoka macbook air,na iPhone X iko majini yakuja next wiki.