johnsonmgaya
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 2,818
- 3,726
Ila nilikumiss aisee. Leo sitoki humu leo. Nipe direction kijiwe gani kipya tukakae huko ila sitaki kinachohusu fxUsinambie ulipotea kisa forex aseee
Ila nilikumiss aisee. Leo sitoki humu leo. Nipe direction kijiwe gani kipya tukakae huko ila sitaki kinachohusu fxUsinambie ulipotea kisa forex aseee
me nasubiri upate hiyo 40m tukaitumbue woteIla nilikumiss aisee. Leo sitoki humu leo. Nipe direction kijiwe gani kipya tukakae huko ila sitaki kinachohusu fx
Ulichokisoma ni dibaji tu kaka, hujaanza hata kusoma mwanzo wa story!
Uandishi wa The bold unafahamika, lazima akupeleke hadi mbeya ndio akurudishe ubungo kiakili kama ukiwa bright kichwani utaelewa ulipitishwa njia gani kufika mbeya. Pls tusiwe wepesi wa kufanya conclusion....
Mnaongea juu juu mtumwavyo na ubongo wenu kwa kuwa hamuujui ukweli, ukweli unakuja kaa chini uuelewe kaka!
Kuna maswali mengi sana ya kujiuliza mkuu.
Those two mentors wamewezaje kutoa training mikoani kote ikiwa kitu ni scam?
Vyombo vyetu vya ulinzi wamehongwa kitu gani kubariki huu utapeli?
Hata huyo The bold amepewa au kuhaidiwa bei gani na ONTARIO?... unafahamu bold anakusanya bei gani kwa mwezi kwenye group la whatsapp? Unafahamu kazi yake nyingine mbali na uandishi?
Kama walikamatwa walitumia ndimi zipi kuwalainisha askari wetu hadi leo ofisi inarun?
Vibali walivipataje?
Yule mzee anaempigiaga bold simu kila usiku ni nani? Why kila kinachotrend nchini anategemea taarifa toka kwa The bold? Why kwenye hili hajamwamini zaidi Robert ila akasubiria kauli na maelezo ya bold?
Tuungane wote tusikilize hii issue then kila mwenye akili timamu atachuja pumba na mchele.
Kukaa kimya pia ni njia rahisi ya kujifunza, alafu tusilazimishe dhambi zingine ambazo hata shetani hahusiki nazo.
JohnsonM.
Mkuu mimi sijawahi kushiriki biashara zingine za mtandaoni ila baada ya kusoma uzi wa forex nilishawishika kuingia. Namshukuru mkuu Ontario kwa kuleta hii fursa. Ukweli kuhusu forex binafsi nimepoteza hela sana. Lakini upande wa pili nimepata pesa kuliko niliyopoteza. Nilianza na dola 300 ndani ya muda mfupi nilifikisha dola 2700. Nikatoa dola 1000 baada ya hapo wimbi la kuunguza akaunti likaniandama. Sababu kubwa ya kuunguza akaunti mara kwa mara ni malengo makubwa niliyojiwekea ya kupata pesa nyingi ndani ya muda mfupi na hivyo kuvunja miiko na kanuni ya hii biashara. Sasa hivi nafanya trading kwa adabu zote nakuza akaunti kwa kupata faida kidogo au kama ni hasara basi hasara ndogo. Kikubwa na cha msingi napata faida zaidi kuliko hasara. Usione watu wapo kimya huku hawaji kutoa ushuhuda wao ni kwamba si kila mmoja ana moyo kama wa Ontario wa kukupa fursa, wameamua kula kimya kimya au wengine hawaoni watakachofaida kupoteza muda humu kutetea mada za forex badala ya kutumia huo muda kudownload money. Karibu sana ujifunze hii biashara uanze kutengeneza pesa.Mimi nitahudhuria training ili next time watu wakiwa wanabishana kwenye thread kama hizi nakuwa najua ukweli.
Maana hapa wanatuchanganya tu, wanao-trade wanajisifu kutengeneza millions kwa wiki wasio-trade wanaponda kuwa huu ni uongo.
unataka kutumbua au unataka hadi nipate 40m?me nasubiri upate hiyo 40m tukaitumbue wote
People are desperate in making life. And guess what this is the mentality that most of fellas who join the business have.Hahahaaaa mazee naona hiyo 40 imekuvutia sana.
But, don’t you think it sounds too good to be true?
iN short wewe ni Hater kuna watu wako wana fanya hii kitu wapo Kimyaa kwa kua hawaja amua tuu kuji tangaza ila kwa kua kijana ame waletea hii fursa mme shindwa kui fanya basi mnaona yey ni tapeli
Na ku ziirisha izo chuki zako uka enda mpaka kwenye Personal page yake ya insta kuchukua picha za miradi yake na kuja kuipost uku
huku wewe ukiwa katka Fake ID..
If you have Balls njoo na ID yako ya siku zote sio hii uliyo ifungua juzi juzi apa
Ahahaha wengi wanakosa uelewa kama wakoNaona kuna ukweli katika hili, mtoa mada kaeleza vizuri sana, FOREX haina utofauti na betting hivyo kama mtu anaweza ku bet hata forex pia anaweza akafanya ila tu atambue ni kamari kama kamari nyingine za kina bwin.com, bet365 na premierbet
Wafichue tu maana si wabongo tumekuwa kama jalala la michezo ya bahati na sibu.embu jiulize kwanini wanakua wakali? Ukweli siku zote haupingiki
Dogo Nenda kwenye Page yako ya fesibuku kalete screenshot ya mradi wako si umeleta banda la kuku la mshikaji we hata banda la Sungura unalo??Naskitika kuona kijana kama wewe umeshidwa kuelewa nilicho kiandika.
hapo sasa umenena...sema namwogopa mama mira mieunataka kutumbua au unataka hadi nipate 40m?
Kama kutumbua tu tafuta viza now tar 23 naenda dubai nitarudi 10 January!
Jump in
Siwezi weka Take Profit kwenye 40m ikiwa kuna fursa ya kupata 100m! Huoni kuwa nitajikatili?
People are desperate in making life. And guess what this is the mentality that most of fellas who join the business have.
It sounds too good to earn such amount, but not an easy task to reach there.
Patience, discipline, hardworking and clear understanding of the market movement are the key tools to reach such achievements.