Siri kubwa kuhusu Forex hakuna Mentor anaetaka uijue

40,000,000 mara mwezi = 160,000,000 mara mwaka sawa na 1920,000,000 sawa na bilion 1.9 na upuuzi


mungu anamuona huyu kijana anavyo washikia akili watanzania

halafu kuna mijitu mizuzu kweli humu Jf sijapata kuona
 
sasa inasemekana kuwa the bold demu wake anafanya kazi kwa ONTARIO TMT
halafu hapo hapo mnasubiri THE BOLD aje awaambie ukweli kuhusu Forex hahaaaa
MNA akili kweli au ndio mmerogwa yaani mtu awe Tayari kugombana na rafiki yake pia amuharibie mpenzi wake kazi kwaajili ya manufaa yenu aiseee kweli bongo vilaza wengi
 
sasa inasemekana kuwa the bold demu wake anafanya kazi kwa ONTARIO TMT
halafu hapo hapo mnasubiri THE BOLD aje awaambie ukweli kuhusu Forex hahaaaa
MNA akili kweli au ndio mmerogwa yaani mtu awe Tayari kugombana na rafiki yake pia amuharibie mpenzi wake kazi kwaajili ya manufaa yenu aiseee kweli bongo vilaza wengi
Ha ha ha ha mimi nilichoka pale ambapo ONTARIO anasifia thread ya The bold sweet,sijui nini wakati tunategemea hio thread ituambie pro and cons za FX....huwezi kuisifia labda uwe unajua kitakachofuata.
 
hahaha mkuu wewe bure kabisa hizi issue sio livel yako, embu kaakmy kama wenzako


Njooo na fact kama nilizokuja nazo mm watu watakuelewa kuliko kuongea utumbo hapa
Sawa mkuu Pogba naona niache ku discuss hichi kitu, wacha nibaki na nnachokifaham na wewe baki na cha kwako... Najua nini nimekipata kwenye forex na sina haja ya kutumia nguvu nyingi kumuaminisha kila mtu...

Tu discuss mpira tu maana na mimi ni mshabiki wa MAN UTD, ila naona msimu huu mambo atakuwa magumu sijui kama tutabeba ubingwa...
 
Ha ha ha ha mimi nilichoka pale ambapo ONTARIO anasifia thread ya The bold sweet,sijui nini wakati tunategemea hio thread ituambie pro and cons za FX....huwezi kuisifia labda uwe unajua kitakachofuata.
hahaaa mimi nilikuwa nakuona tu siku ile unavyo comment sema kwanza nikakaa pembeni kufikirisha bongo vizuri
nilipoona Jamaa kaanza zake cjui nikapewa koti na police Mara oohh kuna MZee akaniita niende officini kwake kumuhadthia kuhusu forex mmhh nikaona hapa tunauziwa chai
hapa kinachotafutwa nikuipush upya hiyo forex ili wapate kuwapiga watu zaidi hakuna lolote maana hapa katkati hiyo forex ilikuwa imepoteza kajiumaarufu kake humu ndani
 
Nimekosoa kwa fact mkuu


Embu jaribuni kuunda kamati kuupinga huu ukweli


Zipo nondo nyingi nimeziandaa, zinakuja yale madudu yanu ya kuwatoa watu kwenye magroup ya WhatsApp kisa kutolipa pesa ya Ada sija yasema bado.
I agree with you kwa hapo.. FOREX is not a get rich quick scheme na kama kuna mtu anawaaminisha watu hivo basi ni makosa...

Forex and any other financial market trading or investing is a speculation which is based on probabilities. It is not a guarantee to be right all the time. Kuna ups and down na hakuna chart inaweza kuwa smoothly upward.. hakuna kitu kama hicho..

Na ndo mana watu watazidi kuiona forex ni ngumu maana ni kitu mpaka uki master inaweza kukuchukua miaka mingi mno. Probability might be in your favor and you gonna win straight for a year but next year modality za soko zinaweza ku change while your strategy is static which means you will start losing money.

But that doesnt mean FOREX is bad noo its you strategy which is... Ndo mana learning Forex and financial market trading for a dedicated person is a lifetime journey.
 
hahaaa halafu kuna mijitu inashindwa hata kujiongeza kwakuwa humu hatuonani bhasi usikute huyo Ontario na the bold wanateam yao ya watu 10 nakila mmoja ana Ac zake za JF zisizo pungua 5
anatoa comment kwa ID hii kisha anaijibu kwa ID hii yaani wewe peke yko unajikuta unaziona comment kibao zakuitetea forex kumbe umewekwa mtyu kati nawatu wakampuni moja ..basi unapigwa tu .unapigwa tu mamaeeee mpka akili ikukae sawa
sisi wengine tulianzaga kupuynga mapema kwenye mitandao natumeshapitia hizo mambo tangu enzi za yahoo badoo na Eskimi unafungua ac ya kike unatngaza kuwa wauza papuchi bhasi kila siku simu zinafululiza mamaeee mtu akipiga unampa simu mtoto mzuri anaongea nae kisha anapigwa mzinga anatuma hela ya vouchera wakituma 6 bhasi uhakika wamlo unakuwepo..
hahaaa mjini raha aiseeeeee
sasa mimi mtoto wakinondoni uje kuniambia cjui forex cjui nini na nini nakuona nyokoloso tu ..kawapige wengine huko
 
Mkuuuu tatizo watu niwabishi sanaaaa.

Niliwah kuufungua huo Uzi Wa "Hakuna benki inayotaka uujue" .. Niliamua kuishia nusu tuuuu coz nilichokigundua pale niwizi tu ...

Nikaamua kuingia mwenyewe kugugo hiii kitu ,, Nilichokigundua ktk gugo nahiki kilicholetwa humu JF nivitu VIWILI TOFAUTI.

Hapo nikajiuliza ,,,Forex imeanzia Ugaibun ,kwann wao huko hawana taimu nayo nasio kwamba wanahela ????.

Nikaja kuitimisha hivi ,, *Nitaendelea kuamin ktk kipato cha kujishugulisha ,kipato chajasho ,damu na maumivu LAKINI SIO HUU UTAPELI WOWOTE ,IWE FOREX WALA BETS ,,SITOKUJA " KUJARIBU.
 
Ok naona unahofia sana kupoteza. Mkiwa mna-promote hii biashara jitahidi kuelezea pia ni kiadi gani mnapoteza. Maelezo humu ni as if nyinyi wote huwa mnavuna tu, yaani ukifanya fx wewe unapata tu hii biashara gani? Btw nimeshaamua naanza hio training januari ili nikiacha hii biashara nijue nimeacha kitu nakifahamu sio kwa kusikia tu.
Mkuu too much talking is harmful u just

get into the corridor and see for yourself
 
Safi kabisa! Wale wenye maduka ya kuuza na kununua pesa ndio wanafanya kweli biashara ya forex, maana wanatoa huduma ya kukubadilishia pesa. Ila Forex ya kwenda Jangid kufanyiwa mentoriship ili ucheze na pc kama unacheza game ni kamari kama kamari nyingine.
et kama unacheza gem gem gan LA baskeli unakua karuru au tbag
 
Back
Top Bottom