PD_Magumba
JF-Expert Member
- Apr 2, 2021
- 699
- 2,197
Wadau hakika kipa umbele ni simu inayodumu sana na Chaji. Nisaidieni kupata simu hiyo hata kama ni Refurbished kwa maximum budget ya 1.1 TZS Million. Inatakiwa kama ni Samsung iwe at least S10+ na kama ni iphone iwe at least XR.
NB: Iwe inayokaa sana na Chaji not less than 1 day on full application.
Ahsante.
NB: Iwe inayokaa sana na Chaji not less than 1 day on full application.
Ahsante.