southernboy
JF-Expert Member
- Sep 27, 2015
- 836
- 1,029
Habari wakuu,
Nina simu aina ya oppo ilizima sababu siku chaji sasa wakati wa kuchaji inaniandikia hayo maneno hapo juu halafu inazima.
Wataalamu nisaidieni hiyo ni ya kubadili battery au ni matengenezo madogo nisije enda kwa fundi akanipiga parefu.
Nina simu aina ya oppo ilizima sababu siku chaji sasa wakati wa kuchaji inaniandikia hayo maneno hapo juu halafu inazima.
Wataalamu nisaidieni hiyo ni ya kubadili battery au ni matengenezo madogo nisije enda kwa fundi akanipiga parefu.