News Alert: Simba SC yaachana na Kocha Mkuu Didier Gomes da Rosa, Thierry Hitimana kuwa kocha kipindi cha mpito

karv

JF-Expert Member
Dec 26, 2019
1,800
3,221
Kwa kauli aliyoitoa ni Mo Dewji baada ya simba kufungwa nilijua tu Gomes hawezi kupona

Nakumbuka kabla hajawa muwekezaji simba alitoa kauli kama hiyo Omog ambaye kwa sasa ni kocha wa Mtibwa Sugar nae akafungasha

Bado Ole Guna Sosha sasa ili niwe na amani ya moyo.

FB_IMG_16352425943677577.jpg
 
Kwa kauli aliyoitoa ni Mo Dewji baada ya simba kufungwa nilijua tu Gomes hawezi kupona

Nakumbuka kabla hajawa muwekezaji simba alitoa kauli kama hiyo Omog ambaye kwa sasa ni kocha wa Mtibwa Sugar nae akafungasha

Bado Ole Guna Sosha sasa ili niwe na amani ya moyo.

View attachment 1987249
Biashara za wahindi ni uchizi uliokithiri, Kanjibai kauza bunduki kanunua rungu afu anataka matokeo yale yale. Kama kuna watu walipaswa kuanza kuwajibika hapo Simba, alipaswa anze Mwamedi, na kademu kake kafuate.
 
Back
Top Bottom