karv
JF-Expert Member
- Dec 26, 2019
- 1,800
- 3,221
Kwa kauli aliyoitoa ni Mo Dewji baada ya simba kufungwa nilijua tu Gomes hawezi kupona
Nakumbuka kabla hajawa muwekezaji simba alitoa kauli kama hiyo Omog ambaye kwa sasa ni kocha wa Mtibwa Sugar nae akafungasha
Bado Ole Guna Sosha sasa ili niwe na amani ya moyo.
Nakumbuka kabla hajawa muwekezaji simba alitoa kauli kama hiyo Omog ambaye kwa sasa ni kocha wa Mtibwa Sugar nae akafungasha
Bado Ole Guna Sosha sasa ili niwe na amani ya moyo.