Newbies
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 1,538
- 2,241
Kwa taarifa ambazo nimepenyezewa nikuwa Simba imejipanga kufanya kufuru kwa KUIBOMOA YANGA huku ikipanga Kuondoka na wachezaji wanne kutoka Yanga na wachezaji wawili kutoka Azam.
Simba inajiandaa kunasa saini za wachezaji Hawa kutoka Yanga ambao wamepangiwa Dau Nono la usajili pamoja na mshahara wa kufuru. Wachezaji hao nipamoja na
1. Ki Azizi
2. Ibrahim Baka
3. Bakari mwamnyeto
4. Mudhathiri Yahaya
Kubali Clabu ya Azam Simba imepanga kuwanyakua
1. Bajana
2. Faisal salum
Pamoja na usajili huo wa nguvu Simba inajiandaa kubisha kwa majirani Kenya Kumnasa Mshambuliaji hatari wa Gormahya Omalla
Pia Simba inasaka saini ya Melinda mlango konako ligi kuu ya Africa kusini ambapo Kama itashindikana wamejiandaa pia kumshawishi golikipa Bora wa ligi kuu mpaka Sasa Diara kutoka kwa Wana jangwani
Iko hivi miamba hiyo ya Msimbazi imejipanga vilivyo kuhakikisha inarudisha ubingwa kwa wanasimba ili kurudisha Imani kwa mashabiki.
Kwa upande wa Kocha huenda wakapiga hodi kule Morocco kwa Nabi kuona Kama wanaweza kumrejesha Kocha huyo nchini
KUHUSU MAYELE
Kama Simba itashindwa Kumnasa Omala Basi huenda wakageukia saini ya aliyekuwa Mshambuliaji wa zamani wa Yanga Fiston Mayele.
Simba inajiandaa kunasa saini za wachezaji Hawa kutoka Yanga ambao wamepangiwa Dau Nono la usajili pamoja na mshahara wa kufuru. Wachezaji hao nipamoja na
1. Ki Azizi
2. Ibrahim Baka
3. Bakari mwamnyeto
4. Mudhathiri Yahaya
Kubali Clabu ya Azam Simba imepanga kuwanyakua
1. Bajana
2. Faisal salum
Pamoja na usajili huo wa nguvu Simba inajiandaa kubisha kwa majirani Kenya Kumnasa Mshambuliaji hatari wa Gormahya Omalla
Pia Simba inasaka saini ya Melinda mlango konako ligi kuu ya Africa kusini ambapo Kama itashindikana wamejiandaa pia kumshawishi golikipa Bora wa ligi kuu mpaka Sasa Diara kutoka kwa Wana jangwani
Iko hivi miamba hiyo ya Msimbazi imejipanga vilivyo kuhakikisha inarudisha ubingwa kwa wanasimba ili kurudisha Imani kwa mashabiki.
Kwa upande wa Kocha huenda wakapiga hodi kule Morocco kwa Nabi kuona Kama wanaweza kumrejesha Kocha huyo nchini
KUHUSU MAYELE
Kama Simba itashindwa Kumnasa Omala Basi huenda wakageukia saini ya aliyekuwa Mshambuliaji wa zamani wa Yanga Fiston Mayele.