Sijapata kuona uzembe mkubwa namna hii!!

Nyenyere

JF-Expert Member
Sep 9, 2010
14,770
10,660
Wakuu, sote tumeshuhudia wiki za usajili wa vishindo ambao umetikisa jiji kama sio nchi kwa ujumla wake. Naweza kusema matukio makubwa ya kisiasa yameweza kutulizwa na muingiliano wa mambo ya usajili wa hivi vilabu viwili.

Tatizo linakuja upande wa marketing, sielewi wamepangaje hesabu zao. Lakini kwa timu ya Yanga ambayo ndiyo imeongoza kwa vibe la nguvu kutokana na kusajili kwa wingi, huku wakiratibu matukio ya kupokea wachezaji kwa umakini mkubwa, walitarajiwa kutumia msimu huu KUPIGA PESA. How? Kama ilivyokuwa kauli ya HAKIKISHA HUISHIWI BANDO kwenye Instagram tulitarajia pia waseme USIKOSE JEZI YA MUKOKO AIRPORT!!

Ni kwa nini kampeni ya mapokezi ya mastaa hawa haikuenda na biashara ya jezi? Ni aibu mpaka sasa jezi rasmi hazijatambulishwa ili wadau ambo damu zineachemka kweli kweli wazichangamkie. Basi sawa, wakati wa mapokezi klabu haikuwa tayari, vipi wakati huu wa kuelekea kikeke cha wiki ya mwananchi, kwa nini mpaka sasa hakuna jezi? Ingekuwa vema kwamba wapenzi wanahamasishwa kuvaa jezi mpya na kuujaza uwanja ili kuupamba, lakini akili zimelenga kuionyesha Simba kwamba wao wana wakazi uwanja wengi!! Hivi ni nani ameturoga?

Yaani mpaka sasa ilitarajiwa mitaani kuwe na mashindano ya kuvaa jezi mpya, lakini hatulioni hilo!! Tunasubiri mpaka pale mzuka wa wapenzi upoe, ndipo tuanzishe kampeni maalumu ya VAA JEZI. Hakika hapa Yanga imefeli sana. Kwa mtindo huu msolla ataendelwa kutangaza kuchangia bakuli tu badala ya kuhamasisha wadau wanunue products kuiunga mkono timu!?

NANI KATUROGA?
 
Wakuu, sote tumeshuhudia wiki za usajili wa vishindo ambao umetikisa jiji kama sio nchi kwa ujumla wake. Naweza kusema matukio makubwa ya kisiasa yameweza kutulizwa na muingiliano wa mambo ya usajili wa hivi vilabu viwili.

Tatizo linakuja upande wa marketing, sielewi wamepangaje hesabu zao. Lakini kwa timu ya Yanga ambayo ndiyo imeongoza kwa vibe la nguvu kutokana na kusajili kwa wingi, huku wakiratibu matukio ya kupokea wachezaji kwa umakini mkubwa, walitarajiwa kutumia msimu huu KUPIGA PESA. How? Kama ilivyokuwa kauli ya HAKIKISHA HUISHIWI BANDO kwenye Instagram tulitarajia pia waseme USIKOSE JEZI YA MUKOKO AIRPORT!!

Ni kwa nini kampeni ya mapokezi ya mastaa hawa haikuenda na biashara ya jezi? Ni aibu mpaka sasa jezi rasmi hazijatambulishwa ili wadau ambo damu zineachemka kweli kweli wazichangamkie. Basi sawa, wakati wa mapokezi klabu haikuwa tayari, vipi wakati huu wa kuelekea kikeke cha wiki ya mwananchi, kwa nini mpaka sasa hakuna jezi? Ingekuwa vema kwamba wapenzi wanahamasishwa kuvaa jezi mpya na kuujaza uwanja ili kuupamba, lakini akili zimelenga kuionyesha Simba kwamba wao wana wakazi uwanja wengi!! Hivi ni nani ameturoga?

Yaani mpaka sasa ilitarajiwa mitaani kuwe na mashindano ya kuvaa jezi mpya, lakini hatulioni hilo!! Tunasubiri mpaka pale mzuka wa wapenzi upoe, ndipo tuanzishe kampeni maalumu ya VAA JEZI. Hakika hapa Yanga imefeli sana. Kwa mtindo huu msolla ataendelwa kutangaza kuchangia bakuli tu badala ya kuhamasisha wadau wanunue products kuiunga mkono timu!?

NANI KATUROGA?
Utopolo
 
Binafsi kama mdau wa mpira tatizo kubwa ni
Kukosekana weledi wa kutumia furusa vema katika masuala mtambuka yenye masilahi mapana kwenye timu. Haiingii akilini zama hizi kuendesha timu yenye brand kubwa kama Yanga kwa njia ya bakuli. Kuna sehemu uongozi umekwama yawapasa kujikita kutengeneza timu shindani uwanjani mpaka kwenye account. Mwisho japo si kwa umhimu, uongozi wa Yanga sc uache utamaduni wa kuwaza kuifunga Simba sc pekee kwa kuwezeka nguvu kubwa ktk mechi mbili bali waweke mkazo thabiti wa kushindana na malengo yao wanayojiwekea ili mwisho wa msimu wakijifanyia tathimini kuwe na matokeo chanya ya kazi ya mikono yao.
 
Wakuu, sote tumeshuhudia wiki za usajili wa vishindo ambao umetikisa jiji kama sio nchi kwa ujumla wake. Naweza kusema matukio makubwa ya kisiasa yameweza kutulizwa na muingiliano wa mambo ya usajili wa hivi vilabu viwili.

Tatizo linakuja upande wa marketing, sielewi wamepangaje hesabu zao. Lakini kwa timu ya Yanga ambayo ndiyo imeongoza kwa vibe la nguvu kutokana na kusajili kwa wingi, huku wakiratibu matukio ya kupokea wachezaji kwa umakini mkubwa, walitarajiwa kutumia msimu huu KUPIGA PESA. How? Kama ilivyokuwa kauli ya HAKIKISHA HUISHIWI BANDO kwenye Instagram tulitarajia pia waseme USIKOSE JEZI YA MUKOKO AIRPORT!!

Ni kwa nini kampeni ya mapokezi ya mastaa hawa haikuenda na biashara ya jezi? Ni aibu mpaka sasa jezi rasmi hazijatambulishwa ili wadau ambo damu zineachemka kweli kweli wazichangamkie. Basi sawa, wakati wa mapokezi klabu haikuwa tayari, vipi wakati huu wa kuelekea kikeke cha wiki ya mwananchi, kwa nini mpaka sasa hakuna jezi? Ingekuwa vema kwamba wapenzi wanahamasishwa kuvaa jezi mpya na kuujaza uwanja ili kuupamba, lakini akili zimelenga kuionyesha Simba kwamba wao wana wakazi uwanja wengi!! Hivi ni nani ameturoga?

Yaani mpaka sasa ilitarajiwa mitaani kuwe na mashindano ya kuvaa jezi mpya, lakini hatulioni hilo!! Tunasubiri mpaka pale mzuka wa wapenzi upoe, ndipo tuanzishe kampeni maalumu ya VAA JEZI. Hakika hapa Yanga imefeli sana. Kwa mtindo huu msolla ataendelwa kutangaza kuchangia bakuli tu badala ya kuhamasisha wadau wanunue products kuiunga mkono timu!?

NANI KATUROGA?
Kocha hamna ndo muuze jezi ? Seriously?
 
Jezi zinatoka Ijumaa na hili limefanyika makusudi kuwadhibitibl wale watoa jezi feki wasitupige kipindi hiki cha wiki ya Mwananchi.
Yaweza kuwa sawa lakini nadhani si sawa. Tuangalie mfumo mwingine wadhibiti. Biashara ya jezi na bidhaa za klabu ndio msingi mkuu wa mapato yake.

Mimi nimehoji mara kadhaa, hivi haya matawi ya vilabu vyetu yana jukumu lipi hasa? Au ndio kazi ya kuchagua viongozi na kukodi mabasi kwenda kwenye mechi mbalimbali? Kwa nini matawi haya yasitumike kuuza bidhaa halisi za timu pamoja na kuhamasisha manunuzi yake?

Ukiangalia safu za uongozi kwenye matawi utakuta vizee vya miaka zaidi ya 80 ndio vinaongoza. Kwa mtindo huu unatarajia kuwepo mfumo mzuri wa mapato ya vilabu? Hili lote na shauri ya uongozi wa hovyo unaolenga maslahi binafsi kuliko kuvijenga vilabu. Kiongozi mpigaji hawezi kamwe kukubali kuzungukwa na viongozi wenye kufikiri. Hivyo vizee vinavyotarajia shilingi 2000 kila vikikutana na viongozi wa juu ndio karata yao.

Mfumo wa uuzaji jezi ili kudhibiti feki ni kutumia matawi, zinapelekwa jezi kwa idadi kila tawi na wanachama na wapenzi wanahamasishwa kununua huko. Kuchelewesha kuziingiza sokoni ni kuhujumu mapato kwa kiasi kikubwa sana
 
Yaweza kuwa sawa lakini nadhani si sawa. Tuangalie mfumo mwingine wadhibiti. Biashara ya jezi na bidhaa za klabu ndio msingi mkuu wa mapato yake.

Mimi nimehoji mara kadhaa, hivi haya matawi ya vilabu vyetu yana jukumu lipi hasa? Au ndio kazi ya kuchagua viongozi na kukodi mabasi kwenda kwenye mechi mbalimbali? Kwa nini matawi haya yasitumike kuuza bidhaa halisi za timu pamoja na kuhamasisha manunuzi yake?

Ukiangalia safu za uongozi kwenye matawi utakuta vizee vya miaka zaidi ya 80 ndio vinaongoza. Kwa mtindo huu unatarajia kuwepo mfumo mzuri wa mapato ya vilabu? Hili lote na shauri ya uongozi wa hovyo unaolenga maslahi binafsi kuliko kuvijenga vilabu. Kiongozi mpigaji hawezi kamwe kukubali kuzungukwa na viongozi wenye kufikiri. Hivyo vizee vinavyotarajia shilingi 2000 kila vikikutana na viongozi wa juu ndio karata yao.

Mfumo wa uuzaji jezi ili kudhibiti feki ni kutumia matawi, zinapelekwa jezi kwa idadi kila tawi na wanachama na wapenzi wanahamasishwa kununua huko. Kuchelewesha kuziingiza sokoni ni kuhujumu mapato kwa kiasi kikubwa sana
Mawazo mazuri sana. Kingine nje ya maada, hivi klabu kama yanga yenye eneo la uwanja ambalo halijaboreshwa (Kaunda) inashindwa vipi kupanda nyasi za kawaida na kuajiri mtu wa kuzimwagilia kwa maji ya dawasco ili kupata eneo la kufanyia mazoezi?
 
Mawazo mazuri sana. Kingine nje ya maada, hivi klabu kama yanga yenye eneo la uwanja ambalo halijaboreshwa (Kaunda) inashindwa vipi kupanda nyasi za kawaida na kuajiri mtu wa kuzimwagilia kwa maji ya dawasco ili kupata eneo la kufanyia mazoezi?
Ile ni sehemu ya mto,apafai kuweka uwanja mzuri,pale panafaa kwa kilimo cha matikiti,mbogamboga na ufugaji wa samaki.
 
Ubunifu na professionalism bado ni tatizo sana kwa hizi timu zetu, hasa yanga na simba ambazo ndo zenye washabiki wengi.

Unaweza kuangalia tu kwenye safu nzima ya uongozi wa hizi timu ukajua hamna kitu when it comes to marketing and fundraising campaigns.

Huku bumbuli, kule manara kuna kazi hapo, zaidi ya maneno tu yasiyo na maana kwenye maendeleo ya timu. Mbaya zaidi washabiki wenyewe ndo tunapenda kusikia maneno yao. Utasikia leo manara kasema hivi....kule nako sijui bumbuli/nugaz kasema nini, yaan upuuzi mtupu!!

Na wasemaji wenyewe walivolewa sifa sasa, badala watafute na kuhamasisha vyanzo vya mapato ya klabu, wao kutwa kutafuta maneno ya kuongea kwenye vyombo vya habari
 
Kocha hamna ndo muuze jezi ? Seriously?
Niliwahi kushauri wamchukue Ndairagije, mbona ni mzuri tu. Wao wameng'ang'ana na wa nje tu ambao hata mazingira yetu hawayajui. Mpaka aje kuzoea timu imeishaboronga vya kutosha
 
Mawazo mazuri sana. Kingine nje ya maada, hivi klabu kama yanga yenye eneo la uwanja ambalo halijaboreshwa (Kaunda) inashindwa vipi kupanda nyasi za kawaida na kuajiri mtu wa kuzimwagilia kwa maji ya dawasco ili kupata eneo la kufanyia mazoezi?
Mkuu, haya ndio tunayosema, hatuna viongozi wenye nia ya kuendelea klabu. Ndipo sasa kwa matunda yao mtawatambua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom