Si mmemchukulia fomu 2025, msitusumbue!

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Feb 20, 2016
14,336
20,981
xxxxx.jpeg
 
Nchi yetu inazidi kudidimizwa kwenye dimbwi la ufukara wa fikira kutokana na hiki kizazi kipya kinacho itwa MACHAWA,na wakubwa wameshapata advantage/faida.
 
Nchi yetu inazidi kudidimizwa kwenye dimbwi la ufukara wa fikira kutokana na hiki kizazi kipya kinacho itwa MACHAWA,na wakubwa wameshapata advantage/faida.
Na hawana aibu, ingekuwa nchi zamkiislamu machawa wangeshatangulizwa waksheherekee na mabikra 72.
 
Wajinga wakubwa mmemchangia fomu ya Urais halafu kawakimbia Leo kwenye sherehe yenu. Safi Sana.
 
Acheni ubaguzi,

Hawakufanya Kwa ridhaa Yao, Bali shinikizo Kwa viongozi wao,

By the way may mosi Si ya walimu pekee.

Hata wafanyakazi Private sector inawahusu.
 
Back
Top Bottom