Shujaa wangu wa Amani: Sheikh Hilary Kipozeo

Huyu sheikh Ni shehe wa kweli, haongelei chuki na dini zingine yeye amejikita kuhamasisha watu watende mema wakafaidi. Anasema huko peponi Kuna mito ya pombe, maziwa halafu ukija faragha ndio usiseme. Mizigo halafu mizigo yenyewe bikra, halafu unapewa mkongo na Viagra, yaani wewe tu. Unakunywa pombe' ukilewa unachujua mzigo.
 
Back
Top Bottom