GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,102
Usilalamike wakati wewe mwenyewe ukiambiwa haya taja vyanzo vipya vya mapato Tanzania hujui, Kama wewe kijana hapa JF na Wazee hamuwezi kutaja vyanzo vipya vya mapato ukiacha kodi za madini, Paye, Corporate Tax na VAT,
Namuunga mkono Mwigulu nchemba kwa kubuni vyanzo vipya vya mapato vinavyotokana na mabadiliko ya teknolojia yaani Tozo
Tanzania ni Taifa la kushangaza sana, Watu wanaolipa kodi ni wafanyakazi wa sekta rasmi na wafanyabiashara waliosajiliwa tu, Wafanyakazi wanalipa kodi ya mshahara au kipato(PAYE) na ni rahisi kuwabana iwe sekta binafsi au Serikalini
Kuna wafanyabiashara kibao mitaani wanauza mboga mboga, Chips mayai hawajasajiriwa na wao wanatumia miundo mbinu ya barabara na zahanati lakini hawalipi kodi kabisa, Wao wanajua kusema chips yai elfu mbili, Katika elfu mbili kodi analipa wapi?
Wafanyabiashara wao ni kawaida kubanwa wanavyo leta malighafi ndani au wanaposafirisha, Hili kundi la wafanyabiashara bila kulipa wharfage pale Bandarini mzigo hautoki hata kidogo
Sasa watanzania waliobaki zaidi ya Milioni thelathini wanalipa kodi wapi? na tunawapata wapi?
Ukuaji wa teknolojia hasa Facebook, WhatsApp, na Internet kwa ujumla umefanya rahisi kutambua baadhi ya mapato ambayo awali hayakujulikana
Hawa watu Milioni thelathini wana simu na wanatumia pesa wakati wote, Yaani mtu unapokea pesa bure kama mshahara wa kawaida Halafu kodi hutaki kulipa
Ni muhimu serikali iweke kila atakaye tumia Tik tok, WhatsApp, Twitter, Instagram akiwa Tanzania akatwe asilimia 40% ya bundle lake na hili linawezekana kabisa
Ni muhimu serikali ikaongeze nguvu kazi kukusanya kwa hawa watu ambao wagumu kujisajiri rasmi kama vibanda vya mboga mboga na chips mitaani
Hakuna Maendeleo tutayapata kwa kutegemea kodi ya watu Milioni nne kwenye Taifa la watu zaidi ya Milioni thelathini na tano
Kama hujui vyanzo vipya vya mapato kaa kimya, Usilaume wakati wewe mwenyewe hujielewi na huna hoja za kuonyesha vyanzo vipya vya mapato
Lipa tozo kwa mustakabali wa Taifa lako na Vizazi vijavyo
Namuunga mkono Mwigulu nchemba kwa kubuni vyanzo vipya vya mapato vinavyotokana na mabadiliko ya teknolojia yaani Tozo
Tanzania ni Taifa la kushangaza sana, Watu wanaolipa kodi ni wafanyakazi wa sekta rasmi na wafanyabiashara waliosajiliwa tu, Wafanyakazi wanalipa kodi ya mshahara au kipato(PAYE) na ni rahisi kuwabana iwe sekta binafsi au Serikalini
Kuna wafanyabiashara kibao mitaani wanauza mboga mboga, Chips mayai hawajasajiriwa na wao wanatumia miundo mbinu ya barabara na zahanati lakini hawalipi kodi kabisa, Wao wanajua kusema chips yai elfu mbili, Katika elfu mbili kodi analipa wapi?
Wafanyabiashara wao ni kawaida kubanwa wanavyo leta malighafi ndani au wanaposafirisha, Hili kundi la wafanyabiashara bila kulipa wharfage pale Bandarini mzigo hautoki hata kidogo
Sasa watanzania waliobaki zaidi ya Milioni thelathini wanalipa kodi wapi? na tunawapata wapi?
Ukuaji wa teknolojia hasa Facebook, WhatsApp, na Internet kwa ujumla umefanya rahisi kutambua baadhi ya mapato ambayo awali hayakujulikana
Hawa watu Milioni thelathini wana simu na wanatumia pesa wakati wote, Yaani mtu unapokea pesa bure kama mshahara wa kawaida Halafu kodi hutaki kulipa
Ni muhimu serikali iweke kila atakaye tumia Tik tok, WhatsApp, Twitter, Instagram akiwa Tanzania akatwe asilimia 40% ya bundle lake na hili linawezekana kabisa
Ni muhimu serikali ikaongeze nguvu kazi kukusanya kwa hawa watu ambao wagumu kujisajiri rasmi kama vibanda vya mboga mboga na chips mitaani
Hakuna Maendeleo tutayapata kwa kutegemea kodi ya watu Milioni nne kwenye Taifa la watu zaidi ya Milioni thelathini na tano
Kama hujui vyanzo vipya vya mapato kaa kimya, Usilaume wakati wewe mwenyewe hujielewi na huna hoja za kuonyesha vyanzo vipya vya mapato
Lipa tozo kwa mustakabali wa Taifa lako na Vizazi vijavyo