Serikali iweke sheria kali kwa wenye tabia ya kuvuta sigara hadharani ili tuepukane na maradhi sababishi kutoka kwa wavutaji sigara hadharani

Oct 24, 2018
12
13
Nadhani Serikali Iweke Adhabu Kali kwa Yeyote Atakaevuta Sigara hadharani. Maana haiwezekani Tuleteane Magonjwa ya cancer za Mapafu kwa Ajili ya Starehe ya Mtu mwingine. Mtu ananunua Sigara Dukani Anawashasha hapo hapo halafu anapuliza Moshi watu watu wengine wanavuta limoshi lake.

Hii haijakaa Mahali pake. Na Nadhani Angalau Faini yake Isipungue chini ya 300,000 au kifungo Cha Miezi Sita Jela au vyote kwa Pamoja.... Ili iwe fundisho kwa muhusika na wengine wenye tabia kama hizo.

images.jpeg
 
Wazo zuri
Nadhani Serikali Iweke Adhabu Kali kwa Yeyote Atakaevuta Sigara hadharani. Maana haiwezekani Tuleteane Magonjwa ya cancer za Mapafu kwa Ajili ya Starehe ya Mtu mwingine. Mtu ananunua Sigara Dukani Anawashasha hapo hapo halafu anapuliza Moshi watu watu wengine wanavuta limoshi lake. Hii haijakaa Mahali pake. Na Nadhani Angalau Faini yake Isipungue chini ya 300,000 au kifungo Cha Miezi Sita Jela au vyote kwa Pamoja.... Ili iwe fundisho kwa muhusika na wengine wenye tabia kama hizo.
View attachment 2978544
 
Nadhani Serikali Iweke Adhabu Kali kwa Yeyote Atakaevuta Sigara hadharani. Maana haiwezekani Tuleteane Magonjwa ya cancer za Mapafu kwa Ajili ya Starehe ya Mtu mwingine. Mtu ananunua Sigara Dukani Anawashasha hapo hapo halafu anapuliza Moshi watu watu wengine wanavuta limoshi lake.

Hii haijakaa Mahali pake. Na Nadhani Angalau Faini yake Isipungue chini ya 300,000 au kifungo Cha Miezi Sita Jela au vyote kwa Pamoja.... Ili iwe fundisho kwa muhusika na wengine wenye tabia kama hizo.

View attachment 2978544
Yaani hili jambo lifanyike na litekelezwe haraka na wasajiriwe kabisa hao watumiaji.
 
Unajua ki nadharia kila mvuta sigara anatamani kuacha... Mi naona sheria zielekezwe kwenye kuwasadia wavutaji namna rahisi ya kuacha sio adhabu za vitisho vya faini na mambo ya jela miezi sita, na kama Io itapitishwa sheria ielekezwe kwa muuzaji pia anaemuuzia mtu na kumpa kiberiti mbele ya wasio wavutaji
 
Unajua ki nadharia kila mvuta sigara anatamani kuacha... Mi naona sheria zielekezwe kwenye kuwasadia wavutaji namna rahisi ya kuacha sio adhabu za vitisho vya faini na mambo ya jela miezi sita, na kama Io itapitishwa sheria ielekezwe kwa muuzaji pia anaemuuzia mtu na kumpa kiberiti mbele ya wasio wavutaji
Wajeuri sana wavuta sigara.Watiwe adabu tu.Sigara ya shilingi mia mbili lakini hataki kuvuta mbali na umma halafu anaishika kwa madoido utadhani anakula biriani!Wauwawe kabisa!Mbona bia inauzwa aghali na hatutambi?
 
Wajeuri sana wavuta sigara.Watiwe adabu tu.Sigara ya shilingi mia mbili lakini hataki kuvuta mbali na umma halafu anaishika kwa madoido utadhani anakula biriani!Wauwawe kabisa!Mbona bia inauzwa aghali na hatutambi?
Punguzo hasira mzee... Wauwawe tena 😧😧 basi ziuzwe Shemu elekezi au maduka yake yasihusishe bidhaa nyingine na watengewe maeneo yao peke yao maana wana haki sawa na wasio wavutaji kikubwa wasiwakere wasio wavutaji
 
Punguzo hasira mzee... Wauwawe tena 😧😧 basi ziuzwe Shemu elekezi au maduka yake yasihusishe bidhaa nyingine na watengewe maeneo yao peke yao maana wana haki sawa na wasio wavutaji kikubwa wasiwakere wasio wavutaji
Wauwawe ni chombezo tu.Wavute kwa adabu na kufuata sheria.Kwanza wavuta sigara wote wanafanana na "wadudu" wa R-Chuga!
 
Kwa hiyo jambo la hovyo likifanywa na unayemuona maarufu linakuwa jema?You've failed the big time,fella!
Hapo point yangu ni kwenye kuwafananisha wavutaji na wadudu... Sasa mfano Obama anafanana na wadudu kweli... Anyways mi siungi mkono hoja ukizingatia kodi ya sigara inachangia pakubwa kwenye mapato ya nchi
 
Back
Top Bottom