kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,331
- 12,647
Kwa kuanzia Serikali na Benki ya Kilimo iwapatie wanavijiji matrekta ya bure au ya mkopo ili kubadilisha kilimo chao cha jembe la mkono. Sasa hivi wanavijiji wamehamasika kulima kwa matrekta lakini hayapo vijijini na hata kama yakipatikana ni ya kugombania na kwa bei ya juu kati ya sh. 40,000 na 60,000 kwa eka.
Angalaau basi kila kijiji kipatiwe trekta moja kubwa litakalosaidiana na yale ya watu binafsi kwenye kilimo. Kupewa trekta ni bora kuliko kuliko kupewa pesa.
Angalaau basi kila kijiji kipatiwe trekta moja kubwa litakalosaidiana na yale ya watu binafsi kwenye kilimo. Kupewa trekta ni bora kuliko kuliko kupewa pesa.