Serikali haoni haja ya kutimua walimu wote waliounga unga elimu zao?

Wasalam.

E bana tangu nmeingia katika kada hii ya elimu kama mwalimu wa kujitolea katika shule moja ya msingi apa mjini dsm nimejikuta nikigundua kumbe tuna walimu vilaza wengi sana katika hii kada.

Imagine mwalimu wa serikali haamini kama mwanafunzi anaweza kupata 50/50 katika somo la hisabati mpaka anaamua kutengenezq hoja ya kwamba mwalimu nimewapa majibu wanafunzi

Sasa unajiuliza huyu mwalimu ambae ana experience ya miaka takriban 20 na zaid haamin darasa linaweza kupata hamsini ya hamsini wanafunzi 15 je ni kwamba yeye kipind anasoma hakuwah kufuta zote au maana nimeshtuka sn mwalimu anakaza mshipa wa shingo kwamba HAIWEZEKANI watoto kupata hesabu 50..

Serikali ina haja ya kuwatimua hawa walimu wazee waliofeli form four na kuajiri walimu wenye ueled na WALIMU LAZIMA WAFANYIWE USAHILI TUONDOE UOZO
Unataka wafukuzwe ili upate ajira?Acha dua mbaya,na wenzako wanafamilia inawategemea.we endelea kijitolea huku ukimuomba mungu serikali iajiri au tafuta private school kama uko competent sana kuliko hao walimu.
 
Vijana mnaojitolea ni vichaa Sana unaanzaje yaani nyie ndio mnaosababisha serikali isiajiri watu mana upungufu auonekani.
Tafuta shamba ulime mvua zinanyesha sana dar sikuhizi
 
Walimu ni WEHU.

Mwanafunzi akifeli wanapongezana na kunywa wiskiii, wenyewe wanajidanganya ati "Ticha flani noma".

Ni ujingaa, na wehuuu!! Ni wehu wa kitanganyika.
Aisee
Umeniwahi,
Hii ndio mentality ya mibongo, eti wanafunzi wakifeli mtihani ndio mwalimu ni mzuri anajua kufundisha
Huu ujinga ulijengwa na mfumo wa ujamaa, kipindi kulikuwa na chuo kikuu kimoja tu
Nashangaa unaendelezwa, hata vyuoni eti milecturer kutwa kuchwa kutisha wanafunzi kuwa hampiti kwenda mbele, yaani ni ujinga mtupu
 
Vijana mnaojitolea ni vichaa Sana unaanzaje yaani nyie ndio mnaosababisha serikali isiajiri watu mana upungufu auonekani.
Tafuta shamba ulime mvua zinanyesha sana dar sikuhizi
Hii kada ina uozo mwingi sana aisee...nilkua namuona mpwayungu anawaonea walimu ila kiuhalisia walimu ni watu wa ovyo shule za dsm kila siku michango kuna shule kwa siku mtoto anaenda na 3000 et ya spidi test na chakula ukicheki anachofundishwa ni zero na hyo mitihan ni zero vile vile.. walimu wanakusanya pesa nakutokomea watoto wanapga kelele yan mtushukuru sana sie ambao tumeamua kuvamia kada hii tunawatengenezea watoto wenu matokeo
 
Wasalam.

E bana tangu nmeingia katika kada hii ya elimu kama mwalimu wa kujitolea katika shule moja ya msingi apa mjini dsm nimejikuta nikigundua kumbe tuna walimu vilaza wengi sana katika hii kada.

Imagine mwalimu wa serikali haamini kama mwanafunzi anaweza kupata 50/50 katika somo la hisabati mpaka anaamua kutengenezq hoja ya kwamba mwalimu nimewapa majibu wanafunzi

Sasa unajiuliza huyu mwalimu ambae ana experience ya miaka takriban 20 na zaid haamin darasa linaweza kupata hamsini ya hamsini wanafunzi 15 je ni kwamba yeye kipind anasoma hakuwah kufuta zote au maana nimeshtuka sn mwalimu anakaza mshipa wa shingo kwamba HAIWEZEKANI watoto kupata hesabu 50..

Serikali ina haja ya kuwatimua hawa walimu wazee waliofeli form four na kuajiri walimu wenye ueled na WALIMU LAZIMA WAFANYIWE USAHILI TUONDOE UOZO
Ni dhahiri hajui anachotakiwa kukifundisha. Mtu hajui, atamfundisha nini mwanafunzi? Serikalini uzembe mwingi sana!

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Umesoma reliability,validity na variability wewe?
Unajua sifa za GOOD TEST?
Mwalimu,jitathmini na pia usiwabeze hao walimu,wanajua vingi through experience na wanawajua vema wanafunzi husika,waliofaulu huo mtihani wako.Anyway,acha kijitolea ili kuwe na scarcity kubwa ya walimu,tuajiriwe we jamaa.
 
Wasalam.

E bana tangu nmeingia katika kada hii ya elimu kama mwalimu wa kujitolea katika shule moja ya msingi apa mjini dsm nimejikuta nikigundua kumbe tuna walimu vilaza wengi sana katika hii kada.

Imagine mwalimu wa serikali haamini kama mwanafunzi anaweza kupata 50/50 katika somo la hisabati mpaka anaamua kutengenezq hoja ya kwamba mwalimu nimewapa majibu wanafunzi

Sasa unajiuliza huyu mwalimu ambae ana experience ya miaka takriban 20 na zaid haamin darasa linaweza kupata hamsini ya hamsini wanafunzi 15 je ni kwamba yeye kipind anasoma hakuwah kufuta zote au maana nimeshtuka sn mwalimu anakaza mshipa wa shingo kwamba HAIWEZEKANI watoto kupata hesabu 50..

Serikali ina haja ya kuwatimua hawa walimu wazee waliofeli form four na kuajiri walimu wenye ueled na WALIMU LAZIMA WAFANYIWE USAHILI TUONDOE UOZO
Ona hili nalo kubwa jinga
 
Wasalam.

E bana tangu nmeingia katika kada hii ya elimu kama mwalimu wa kujitolea katika shule moja ya msingi apa mjini dsm nimejikuta nikigundua kumbe tuna walimu vilaza wengi sana katika hii kada.

Imagine mwalimu wa serikali haamini kama mwanafunzi anaweza kupata 50/50 katika somo la hisabati mpaka anaamua kutengenezq hoja ya kwamba mwalimu nimewapa majibu wanafunzi

Sasa unajiuliza huyu mwalimu ambae ana experience ya miaka takriban 20 na zaid haamin darasa linaweza kupata hamsini ya hamsini wanafunzi 15 je ni kwamba yeye kipind anasoma hakuwah kufuta zote au maana nimeshtuka sn mwalimu anakaza mshipa wa shingo kwamba HAIWEZEKANI watoto kupata hesabu 50..

Serikali ina haja ya kuwatimua hawa walimu wazee waliofeli form four na kuajiri walimu wenye ueled na WALIMU LAZIMA WAFANYIWE USAHILI TUONDOE UOZO
hiyo shule ya msingi, pata picha chuo kikuu, nafikiri utajua kwanini sasa tuna maprofesa wachache na madokta
 
Back
Top Bottom