Sasa naelewa kwanini Poland na wenzake walikataa wahamiaji kuingia kwao kiholela.

Eli Cohen

JF-Expert Member
Jun 19, 2023
1,390
4,245
Leo USA, UK, France, etc wanataabika kwa kuongezeka kwa matokeo ya ismamic extremism na jihadist movements ambayo yanafanywa na watu waliofungulia milango kwa ajili ya hifadhi na kutafuta maisha bora.
Screenshot_20231104_101159_Firefox.jpg



US na wenzake hawatambui kuwa wanajijengea bomu ambalo litakuja kulipuka muda sio mrefu.

Trump alikata minyororo yote ya kupokea watu kutoka nchi zenye uislam wa itikadi kali na zile zenye historia ya ugaidi, ila democrats wakamuona fala. Sasa acha waendelee kujionea madudu hawa itikadi watakayoyafanya.


Screenshot_20231104_100747_Firefox.jpg

Poland sio wabaguzi, ila wamejifunza haya kutoka kwa majirani zao. Hawataki extremism iwe ndani ya nchi yao
 
Kinacho shangaza..hawa wavaa kobasi wanachuki na wazungu alafu badae kikinuka nchini,kwao wanakimbilia kwa wazungu kwann wasizamie huko arabuni kwao ..au Iran yemen Somalia n.k
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom