Tumsifu Samwel
JF-Expert Member
- Jul 30, 2007
- 1,407
- 159
View attachment 10188
Hivi karibuni nilikuwa mkoani Mbeya kikazi, katika tembea tembea nilifanikiwa kukutana na rafiki yangu wa utotoni Bw.YoYo nilifurahia sana kwa jinsi alivyobadilika na kuamua kujiajiri mwenyewe anaendeleza sera ya (kilimo kwanza).
Aliniambia toka alipojiajiri mwenyewe amepata mafanikio makubwa sana ikiwemo kupiga nyumba yake bati na kufuga mbuzi n'k, mwishoe tuliishia kwenye club ya pombe kupata Kimpumu.
Anawasalimu sana hasa Masanilo,Fidel80,FL1,Shishi.
Hivi karibuni nilikuwa mkoani Mbeya kikazi, katika tembea tembea nilifanikiwa kukutana na rafiki yangu wa utotoni Bw.YoYo nilifurahia sana kwa jinsi alivyobadilika na kuamua kujiajiri mwenyewe anaendeleza sera ya (kilimo kwanza).
Aliniambia toka alipojiajiri mwenyewe amepata mafanikio makubwa sana ikiwemo kupiga nyumba yake bati na kufuga mbuzi n'k, mwishoe tuliishia kwenye club ya pombe kupata Kimpumu.
Anawasalimu sana hasa Masanilo,Fidel80,FL1,Shishi.