Steve Dii
JF-Expert Member
- Jun 25, 2007
- 6,402
- 1,256
Bagalu bichane, aliyoneyo, nandje kwa kubagisha pye!
Salaam kwa wote. Samahani wakuu, inaniwia vigumu kuandika kwa kutumia lugha moja kuwasilisha hoja na maswali yangu. Ningelipenda sana lakini inanishinda.
Kwa waelewa na wataalam wa lugha ya Kisukuma, naomba msaada kufafanuliwa matumizi fasaha ya vitambulishi na vipokeo vya ukoo na ukubwa kiumri katika salaam.
Kuna mameno kama: eeng'washi na eminza, yananitatiza. Nambelejagi babehi, naduma geteh oukwelelwa. Nakoubiza nabona majonginjongi douhu!! Anguh lekaga nafunye mifano ahaseleleh ahah:
-- bibi na babu mzaa mama unamsalimia kwa vipokeo vipi?
-- bibi na babu mzaa baba unamsalimia kwa vipokeo vipi?
--mjomba unamsalimia kwa vipokeo vipi?
--shangazi unamsalimia kwa vipokeo vipi?
--mama mdogo/mkubwa unamsalimia kwa vipokeo vipi?
--baba mdogo/mkubwa unamsalimia kwa vipokeo vipi?
Na salaam nyinginezo mbalimbali ambazo utaweza kuzielezea. Akhsante.
Steve Dii
Salaam kwa wote. Samahani wakuu, inaniwia vigumu kuandika kwa kutumia lugha moja kuwasilisha hoja na maswali yangu. Ningelipenda sana lakini inanishinda.
Kwa waelewa na wataalam wa lugha ya Kisukuma, naomba msaada kufafanuliwa matumizi fasaha ya vitambulishi na vipokeo vya ukoo na ukubwa kiumri katika salaam.
Kuna mameno kama: eeng'washi na eminza, yananitatiza. Nambelejagi babehi, naduma geteh oukwelelwa. Nakoubiza nabona majonginjongi douhu!! Anguh lekaga nafunye mifano ahaseleleh ahah:
-- bibi na babu mzaa mama unamsalimia kwa vipokeo vipi?
-- bibi na babu mzaa baba unamsalimia kwa vipokeo vipi?
--mjomba unamsalimia kwa vipokeo vipi?
--shangazi unamsalimia kwa vipokeo vipi?
--mama mdogo/mkubwa unamsalimia kwa vipokeo vipi?
--baba mdogo/mkubwa unamsalimia kwa vipokeo vipi?
Na salaam nyinginezo mbalimbali ambazo utaweza kuzielezea. Akhsante.
Steve Dii