Safari ya Prof. Ndalichako katika utumishi, siyo chawa wa wanasiasa amejikita kiutendaji zaidi

Prof. Ndalichako elimu yake haina mashaka hata kidogo, wengi wao tumemjuwa tangu akiwa kwenye elimu nadhani vijana wengi Tanzania hii vyeti vyao vina sahihi yake, huyo mama hawezi kuwa chawa WA wanasiasa maana nakupita katika njia hiyo katika utumishi wake! Yeye abachojuwa NI kutekekeza majukumu yake hao mengine mama anaupiga mwingi wanayaweza waliopita Lumumba maana wengi wao akili huweka pembeni wakihitaji ugali kuingia kinywani! Prof katika Hali ya kawaida siyo mwanasiasa ukimya wake wa kutokuwa na makeke ya anaupiga mwingi NI makuzi yake katika utumishi.

Sasa kiranja mkuu amezoea kupewa sifa ambazo Hana kaamua aruke naye akiamini kwamba vijana WA ccm alikuwa nao kwenye chama watamzifia kuelekea uchaguzi mkuu!

Maoni yangu NI kwamba kilanja mkuu apime ushauli anaopewa katika maamuzi asipokuwa makini serikali yake itajaa machawa kuliko utendaji ndipo ataona anguko lake liko wapi , kujaza makada WA ccm ndani ya serikali haimanishi kuwa watakufanyia kazi inavyotakiwa mbinu hiyo aliitumia kikwete walimuangusha pakubwa! Mengine jifunze kutoka kwa huyo Simba wa yuda uliyemtaja katika taarifa hakujali uchama kwenye kazi Zaidi ya utendaji Hilo aliliona na alijuwa kazi kubwa itakuwa kumsifia Tu.

Mimi navyoona utaendelea kuunda Serikali kila baada ya muda.

Nawatakia pasaka njema.

Prof. Joyce siyo mtu wa jukwani yule.Ukitaka umpime kwa kauli za majukwani utamshusha jukwani haraka sana.Yule ni wale watu back door. kukaa ndani na kuanalyse na kuleta mikakati na wengine watekeleze hiyo mikakati.Siyo mtu wa "public speaking"
 
Prof. Ndalichako elimu yake haina mashaka hata kidogo, wengi wao tumemjuwa tangu akiwa kwenye elimu nadhani vijana wengi Tanzania hii vyeti vyao vina sahihi yake, huyo mama hawezi kuwa chawa WA wanasiasa maana nakupita katika njia hiyo katika utumishi wake! Yeye abachojuwa NI kutekekeza majukumu yake hao mengine mama anaupiga mwingi wanayaweza waliopita Lumumba maana wengi wao akili huweka pembeni wakihitaji ugali kuingia kinywani! Prof katika Hali ya kawaida siyo mwanasiasa ukimya wake wa kutokuwa na makeke ya anaupiga mwingi NI makuzi yake katika utumishi.

Sasa kiranja mkuu amezoea kupewa sifa ambazo Hana kaamua aruke naye akiamini kwamba vijana WA ccm alikuwa nao kwenye chama watamzifia kuelekea uchaguzi mkuu!

Maoni yangu NI kwamba kilanja mkuu apime ushauli anaopewa katika maamuzi asipokuwa makini serikali yake itajaa machawa kuliko utendaji ndipo ataona anguko lake liko wapi , kujaza makada WA ccm ndani ya serikali haimanishi kuwa watakufanyia kazi inavyotakiwa mbinu hiyo aliitumia kikwete walimuangusha pakubwa! Mengine jifunze kutoka kwa huyo Simba wa yuda uliyemtaja katika taarifa hakujali uchama kwenye kazi Zaidi ya utendaji Hilo aliliona na alijuwa kazi kubwa itakuwa kumsifia Tu.

Mimi navyoona utaendelea kuunda Serikali kila baada ya muda.

Nawatakia pasaka njema.
kufanya kazi katika taratibu, kanuni na sheria ulizozikuta ni sawa kufanya kazi kwa mazoea....

kua prof. inategemewa kuja na ubunifu wa kimipango viwango tajika kuchochea ufanisi wa taasisi,
sasa prof. unahamishwa huku, unapelekwa kule tunategemea kuona ubunifu na ufanisi tunaona mazoea tu, na kusubiri kulekezwa cha kufanya kutoka juu, na ukielekezwa unaleta kiburi na majivuno na kongezeka kwa changamoto zaid wizarani...

unakua mzigo,
kaa kando wengine waendelee, taifa lisonge...
 
Prof. Ndalichako elimu yake haina mashaka hata kidogo, wengi wao tumemjuwa tangu akiwa kwenye elimu nadhani vijana wengi Tanzania hii vyeti vyao vina sahihi yake, huyo mama hawezi kuwa chawa WA wanasiasa maana nakupita katika njia hiyo katika utumishi wake! Yeye abachojuwa NI kutekekeza majukumu yake hao mengine mama anaupiga mwingi wanayaweza waliopita Lumumba maana wengi wao akili huweka pembeni wakihitaji ugali kuingia kinywani! Prof katika Hali ya kawaida siyo mwanasiasa ukimya wake wa kutokuwa na makeke ya anaupiga mwingi NI makuzi yake katika utumishi.

Sasa kiranja mkuu amezoea kupewa sifa ambazo Hana kaamua aruke naye akiamini kwamba vijana WA ccm alikuwa nao kwenye chama watamzifia kuelekea uchaguzi mkuu!

Maoni yangu NI kwamba kilanja mkuu apime ushauli anaopewa katika maamuzi asipokuwa makini serikali yake itajaa machawa kuliko utendaji ndipo ataona anguko lake liko wapi , kujaza makada WA ccm ndani ya serikali haimanishi kuwa watakufanyia kazi inavyotakiwa mbinu hiyo aliitumia kikwete walimuangusha pakubwa! Mengine jifunze kutoka kwa huyo Simba wa yuda uliyemtaja katika taarifa hakujali uchama kwenye kazi Zaidi ya utendaji Hilo aliliona na alijuwa kazi kubwa itakuwa kumsifia Tu.

Mimi navyoona utaendelea kuunda Serikali kila baada ya muda.

Nawatakia pasaka njema.
Baada ya kumsikia akiongea kiingereza siku moja, nachelea kusema si ajabu huyu mleta mada ndo ndalichako mwenyewe.

Hivi wooote waliopo serikalini wanamsifia mama?!!!!
Makala aliyetolewa hakuwa anamsifia mama?!!!!!

Hivi uprofesa wako mama wewe uliupatia wapi?!!!!!
Hivi una mafanikio yoyote katika nafasi hiyo ya uwaziri tangu ulipoteuliwa 2015/2020?!!!!!
 
Prof. Ndalichako elimu yake haina mashaka hata kidogo, wengi wao tumemjuwa tangu akiwa kwenye elimu nadhani vijana wengi Tanzania hii vyeti vyao vina sahihi yake, huyo mama hawezi kuwa chawa WA wanasiasa maana nakupita katika njia hiyo katika utumishi wake! Yeye abachojuwa NI kutekekeza majukumu yake hao mengine mama anaupiga mwingi wanayaweza waliopita Lumumba maana wengi wao akili huweka pembeni wakihitaji ugali kuingia kinywani! Prof katika Hali ya kawaida siyo mwanasiasa ukimya wake wa kutokuwa na makeke ya anaupiga mwingi NI makuzi yake katika utumishi.

Sasa kiranja mkuu amezoea kupewa sifa ambazo Hana kaamua aruke naye akiamini kwamba vijana WA ccm alikuwa nao kwenye chama watamzifia kuelekea uchaguzi mkuu!

Maoni yangu NI kwamba kilanja mkuu apime ushauli anaopewa katika maamuzi asipokuwa makini serikali yake itajaa machawa kuliko utendaji ndipo ataona anguko lake liko wapi , kujaza makada WA ccm ndani ya serikali haimanishi kuwa watakufanyia kazi inavyotakiwa mbinu hiyo aliitumia kikwete walimuangusha pakubwa! Mengine jifunze kutoka kwa huyo Simba wa yuda uliyemtaja katika taarifa hakujali uchama kwenye kazi Zaidi ya utendaji Hilo aliliona na alijuwa kazi kubwa itakuwa kumsifia Tu.

Mimi navyoona utaendelea kuunda Serikali kila baada ya muda.

Nawatakia pasaka njema.
Akwende tu hakuna jambo lolote la maana alilofanya kama wengine tu. Alipewa Elimu hakuna alilofanya, huko kwenye kazi ndiyo hovyo tu, hakuna juhudi kubwa za kukwamua Vijana.
 
Prof. Ndalichako elimu yake haina mashaka hata kidogo, wengi wao tumemjuwa tangu akiwa kwenye elimu nadhani vijana wengi Tanzania hii vyeti vyao vina sahihi yake, huyo mama hawezi kuwa chawa WA wanasiasa maana nakupita katika njia hiyo katika utumishi wake! Yeye abachojuwa NI kutekekeza majukumu yake hao mengine mama anaupiga mwingi wanayaweza waliopita Lumumba maana wengi wao akili huweka pembeni wakihitaji ugali kuingia kinywani! Prof katika Hali ya kawaida siyo mwanasiasa ukimya wake wa kutokuwa na makeke ya anaupiga mwingi NI makuzi yake katika utumishi.

Sasa kiranja mkuu amezoea kupewa sifa ambazo Hana kaamua aruke naye akiamini kwamba vijana WA ccm alikuwa nao kwenye chama watamzifia kuelekea uchaguzi mkuu!

Maoni yangu NI kwamba kilanja mkuu apime ushauli anaopewa katika maamuzi asipokuwa makini serikali yake itajaa machawa kuliko utendaji ndipo ataona anguko lake liko wapi , kujaza makada WA ccm ndani ya serikali haimanishi kuwa watakufanyia kazi inavyotakiwa mbinu hiyo aliitumia kikwete walimuangusha pakubwa! Mengine jifunze kutoka kwa huyo Simba wa yuda uliyemtaja katika taarifa hakujali uchama kwenye kazi Zaidi ya utendaji Hilo aliliona na alijuwa kazi kubwa itakuwa kumsifia Tu.

Mimi navyoona utaendelea kuunda Serikali kila baada ya muda.

Nawatakia pasaka njema.
Hana shobo
 
Maelezo
Prof. Ndalichako elimu yake haina mashaka hata kidogo, wengi wao tumemjuwa tangu akiwa kwenye elimu nadhani vijana wengi Tanzania hii vyeti vyao vina sahihi yake, huyo mama hawezi kuwa chawa WA wanasiasa maana nakupita katika njia hiyo katika utumishi wake! Yeye abachojuwa NI kutekekeza majukumu yake hao mengine mama anaupiga mwingi wanayaweza waliopita Lumumba maana wengi wao akili huweka pembeni wakihitaji ugali kuingia kinywani! Prof katika Hali ya kawaida siyo mwanasiasa ukimya wake wa kutokuwa na makeke ya anaupiga mwingi NI makuzi yake katika utumishi.

Sasa kiranja mkuu amezoea kupewa sifa ambazo Hana kaamua aruke naye akiamini kwamba vijana WA ccm alikuwa nao kwenye chama watamzifia kuelekea uchaguzi mkuu!

Maoni yangu NI kwamba kilanja mkuu apime ushauli anaopewa katika maamuzi asipokuwa makini serikali yake itajaa machawa kuliko utendaji ndipo ataona anguko lake liko wapi , kujaza makada WA ccm ndani ya serikali haimanishi kuwa watakufanyia kazi inavyotakiwa mbinu hiyo aliitumia kikwete walimuangusha pakubwa! Mengine jifunze kutoka kwa huyo Simba wa yuda uliyemtaja katika taarifa hakujali uchama kwenye kazi Zaidi ya utendaji Hilo aliliona na alijuwa kazi kubwa itakuwa kumsifia Tu.

Mimi navyoona utaendelea kuunda Serikali kila baada ya muda.

Nawatakia pasaka njema.
Maelezo
Prof. Ndalichako elimu yake haina mashaka hata kidogo, wengi wao tumemjuwa tangu akiwa kwenye elimu nadhani vijana wengi Tanzania hii vyeti vyao vina sahihi yake, huyo mama hawezi kuwa chawa WA wanasiasa maana nakupita katika njia hiyo katika utumishi wake! Yeye abachojuwa NI kutekekeza majukumu yake hao mengine mama anaupiga mwingi wanayaweza waliopita Lumumba maana wengi wao akili huweka pembeni wakihitaji ugali kuingia kinywani! Prof katika Hali ya kawaida siyo mwanasiasa ukimya wake wa kutokuwa na makeke ya anaupiga mwingi NI makuzi yake katika utumishi.

Sasa kiranja mkuu amezoea kupewa sifa ambazo Hana kaamua aruke naye akiamini kwamba vijana WA ccm alikuwa nao kwenye chama watamzifia kuelekea uchaguzi mkuu!

Maoni yangu NI kwamba kilanja mkuu apime ushauli anaopewa katika maamuzi asipokuwa makini serikali yake itajaa machawa kuliko utendaji ndipo ataona anguko lake liko wapi , kujaza makada WA ccm ndani ya serikali haimanishi kuwa watakufanyia kazi inavyotakiwa mbinu hiyo aliitumia kikwete walimuangusha pakubwa! Mengine jifunze kutoka kwa huyo Simba wa yuda uliyemtaja katika taarifa hakujali uchama kwenye kazi Zaidi ya utendaji Hilo aliliona na alijuwa kazi kubwa itakuwa kumsifia Tu.

Mimi navyoona utaendelea kuunda Serikali kila baada ya muda.

Nawatakia pasaka njema.
Maelezo meengi lkn ht hujasema kipi hasa alichofanya huyo Ndalichako wako mpk awe na umuhim wa kubaki barazani
 
Prof. Ndalichako elimu yake haina mashaka hata kidogo, wengi wao tumemjuwa tangu akiwa kwenye elimu nadhani vijana wengi Tanzania hii vyeti vyao vina sahihi yake, huyo mama hawezi kuwa chawa WA wanasiasa maana nakupita katika njia hiyo katika utumishi wake! Yeye abachojuwa NI kutekekeza majukumu yake hao mengine mama anaupiga mwingi wanayaweza waliopita Lumumba maana wengi wao akili huweka pembeni wakihitaji ugali kuingia kinywani! Prof katika Hali ya kawaida siyo mwanasiasa ukimya wake wa kutokuwa na makeke ya anaupiga mwingi NI makuzi yake katika utumishi.

Sasa kiranja mkuu amezoea kupewa sifa ambazo Hana kaamua aruke naye akiamini kwamba vijana WA ccm alikuwa nao kwenye chama watamzifia kuelekea uchaguzi mkuu!

Maoni yangu NI kwamba kilanja mkuu apime ushauli anaopewa katika maamuzi asipokuwa makini serikali yake itajaa machawa kuliko utendaji ndipo ataona anguko lake liko wapi , kujaza makada WA ccm ndani ya serikali haimanishi kuwa watakufanyia kazi inavyotakiwa mbinu hiyo aliitumia kikwete walimuangusha pakubwa! Mengine jifunze kutoka kwa huyo Simba wa yuda uliyemtaja katika taarifa hakujali uchama kwenye kazi Zaidi ya utendaji Hilo aliliona na alijuwa kazi kubwa itakuwa kumsifia Tu.

Mimi navyoona utaendelea kuunda Serikali kila baada ya muda.

Nawatakia pasaka njema.
Unamuharibia muha mwenzako_Ooops!Sorry!Hivi waha hujiita wanyarwanda au wakongo siyo?
 
Hakuna tatizo lolote akipumzika. Conclusion yako ni kwamba ameonewa kwa sababu hasifii lakini huenda kuna changamoto za kiutendaji
Ukweli usemwe, Ndalichako ni kama vile alizira. Hakuwa anaifanya kazi yake ikaonekana. Ajira nchi hii ni changamoto, yeye pamoja na elimu yake amekosa ubunifu.

Hata hivyo yeye tu ndiye Waziri ambaye alioashwa kuondolewa wakaachwa wengine ambao wameonyesha udhaifu mkubwa?
 
Back
Top Bottom