Hii ndio Safari aliyoipita Jenerali MUHOOZI KAINERUGABA Mtoto wa Rais wa Uganda Yowery Kaguta Museven hadi kuwa Mkuu wa Majeshi wa Nchi Hiyo
2000: Aliteuliwa kuwa Luteni wa pili, Kitengo cha Ulinzi wa Rais (PPU)
2001: Alipandishwa cheo kuwa Kapteni
2003: Alipandishwa cheo kuwa Meja na urekebishaji wa PPU katika Kikosi cha walinzi wa Rais (PGB)
2008: Alipandishwa cheo kuwa Luteni-Kanali na kuteuliwa kuwa Kamanda wa Vikosi Maalum katika UPDF
2010: Aliteuliwa kuwa kamanda wa Kwanza wa Kikundi Cha Vikosi Maalum (SFG)
2011: Alipandishwa cheo na kuwa Kanali
2012: Alipandishwa cheo na kuwa Brigedia Jenerali
2016: Alipandishwa cheo na kuwa Meja Jenerali
2017: Ateuliwa kuwa Mshauri Mkuu wa Rais wa Majukumu maalumu
2020: Aliteuliwa kuwa Kamanda wa vikosi maalumu
2023: Alipandishwa cheo na kuwa jenerali
2024 Machi: Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Majeshi ya Uganda
NB: Rais Museven ALIWAHI kusema kuwa Ikulu aliipata kupitia mapambano ya msituni hivyo basi kama kuna mtu anayeona anakosea basi naye aende msituni.
2000: Aliteuliwa kuwa Luteni wa pili, Kitengo cha Ulinzi wa Rais (PPU)
2001: Alipandishwa cheo kuwa Kapteni
2003: Alipandishwa cheo kuwa Meja na urekebishaji wa PPU katika Kikosi cha walinzi wa Rais (PGB)
2008: Alipandishwa cheo kuwa Luteni-Kanali na kuteuliwa kuwa Kamanda wa Vikosi Maalum katika UPDF
2010: Aliteuliwa kuwa kamanda wa Kwanza wa Kikundi Cha Vikosi Maalum (SFG)
2011: Alipandishwa cheo na kuwa Kanali
2012: Alipandishwa cheo na kuwa Brigedia Jenerali
2016: Alipandishwa cheo na kuwa Meja Jenerali
2017: Ateuliwa kuwa Mshauri Mkuu wa Rais wa Majukumu maalumu
2020: Aliteuliwa kuwa Kamanda wa vikosi maalumu
2023: Alipandishwa cheo na kuwa jenerali
2024 Machi: Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Majeshi ya Uganda
NB: Rais Museven ALIWAHI kusema kuwa Ikulu aliipata kupitia mapambano ya msituni hivyo basi kama kuna mtu anayeona anakosea basi naye aende msituni.