Kumbuka lengo la kushambulia Israel ni kuua waisrael wote, ndicho kitachotokea Israel ikitekwa na Palestina, Hawa watu wakivamia huwa ni chinja chinja tu kujaribu kuua waisrael wote kwa kiasi wanachoweza, Hata watanzania wenzetu walioenda kusoma huko walikutwa kwenye ardhi ya Israel na wakauawa kikatili, cha kusikitisha kuna watanzania wenzetu waliwatetea magaidi eti kisa kavaa boxer ya kijeshi.
Iraq, Iran, Afghanistan ziliwahi kuwa na uhuru kabla ya kugeuzwa kuwa dola kandamizi za kiislam,
Tena kwa wayahudi hali itakuwa mbaya mno mara 10 ya wakristo wanaoishi Iraq, yatafanyika ni mauaji na mateso ya kisasi yenye mrengo mkali wa kidini.
Iraq, Iran, Afghanistan ziliwahi kuwa na uhuru kabla ya kugeuzwa kuwa dola kandamizi za kiislam,
Tena kwa wayahudi hali itakuwa mbaya mno mara 10 ya wakristo wanaoishi Iraq, yatafanyika ni mauaji na mateso ya kisasi yenye mrengo mkali wa kidini.