Rushwa kwenye Serikali za Mitaa

Wakuu hivi ni sheria gani inayoruhusu mtendaji wa mtaa kudai sh.10,000 kwa saia kwaajili ya kugonga muhuri?
Hii bei inakuwepo toka kitambo, ila inabadilika kutokana na maeneo husika... Mimi nilitozwa 2000/= kwa muhuri tu kwenye barua yangu mwaka 2020. Labda sasa hivi imeongezeka
 
Ni marupurupu hayo, wengine waanaambiwa elfu5, wengine buku3 inategemea unavokuja ofisini... ila sio mbaya waache wapate hela nao hawakusoma buree
 
Hii bei inakuwepo toka kitambo, ila inabadilika kutokana na maeneo husika... Mimi nilitozwa 2000/= kwa muhuri tu kwenye barua yangu mwaka 2020. Labda sasa hivi imeongezeka
Ikoovilevilee huyu inaonekana aligonaa hata 2000
 
Hao wanapewa MUHURI, hawalipwi chochote.

Tuwapambanie walipwe pia baada ya kupunguza mshahara wa mbunge Toka ml 18 Hadi ml 4.

Mpe hata 2000 Ili watoto wake wapate kula.
 
Hii bei inakuwepo toka kitambo, ila inabadilika kutokana na maeneo husika... Mimi nilitozwa 2000/= kwa muhuri tu kwenye barua yangu mwaka 2020. Labda sasa hivi imeongezeka
kwenye sheria hayo malipo yako wapi?
 
ilee unachangiaaa zklekaratasi zaoo kuna wengjne wanakuja kuomba barua hawana hela unasaidia kuwachangia na kizuri kula na nduguyakoo unahisi atakula ile

mihuri??
 
ilee unachangiaaa zklekaratasi zaoo kuna wengjne wanakuja kuomba barua hawana hela unasaidia kuwachangia na kizuri kula na nduguyakoo unahisi atakula ile

mihuri??
Mi sina hata 2000 inakuwaje? na ndo nilikuwa naomba kazi sehem wanahtaji utambulisho wa mtendaji
 
unapouzakiwanjaa ukawapaa bakshishi unajuaaa n rushwaa ile..kuna wanunuzi lazima wajisalimishe kwaoo na kwaoo awakusaidiii kijinga lazima utumikeee
 
Mi sina hata 2000 inakuwaje? na ndo nilikuwa naomba kazi sehem wanahtaji utambulisho wa mtendaji
HAPO UNATUHUSIWA KUWAOMBA NA SHIDA NAOMBA MSAAADA SIKO VIZURI WANAKUSAIDIA WENGI TU..YAAN HIZO BK 2 N KUSAIDIA WASIOO NA UWEZOOOO
 
mkuu mimi sina hela na nimeenda kwa ajili ndo kwanza natafuta hela sasa nitampa hela gani rushwa uchwara
Mimi sikubaliani na rushwa ila ukitaka hela lazima uwe na hela, Mungu akujalie upate hela nyingi ili siku ingine uone hiyo elfu10 kuwapa watu wa muhuri ni jambo la kawaida
 
Mimi sikubaliani na rushwa ila ukitaka hela lazima uwe na hela, Mungu akujalie upate hela nyingi ili siku ingine uone hiyo elfu10 kuwapa watu wa muhuri ni jambo la kawaida
nisaidie basi hiyo hata nusu yake niwapelekee maana hapa niko nahangaika kupata hko kibarua mkuu tangu asubuhi sijala alaf ana hata huruma kweli
 
Back
Top Bottom