mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 16,303
- 36,827
Kwa hiyo we fani umeona ni urubani tu stupid kabisaWEWE UNADHANI KWENYE UBUNGE WATU HAWATUMII AKILI? Sasa wewe mwenye akili kuna marubani wangapi kwenu?
Kwa hiyo we fani umeona ni urubani tu stupid kabisaWEWE UNADHANI KWENYE UBUNGE WATU HAWATUMII AKILI? Sasa wewe mwenye akili kuna marubani wangapi kwenu?
Sema yako sasa wewe ambaye siye stupid? Stand up and be counted- whiner no oneKwa hiyo we fani umeona ni urubani tu stupid kabisa
Siku hizi wako wapi,mana maduka yalikufa kitamboDuu umenikumbusha watoto wazuri wakishua Judica Kida na wadogozake
Daa huyu jamaa tulipiga naye mitungi sana Qbar na Kilimanyege kona ya Masaki. R.i.P Le CaptainFamilia ya Mazula ilikuwa familia rafiki sana na familia ya Mwalimu Nyerere.
Watoto wengi wa hii familia ni wasomi wakubwa wa enzi hizo
Hujui kitu wewe, walioteka walipofika Stanstead Airport waliomba hifadhi ya kisiasa na wakafungwa. walipotoka wakaishi kikimbizi,. Moussa Memba, Yasin Member na vijana wawili wa kizanzibar waliokulia Dar. Moussa alirejea bongo akakamatwa alifia jela. Yasini nae alirudi bongo kwenye 2000s bahati mbaya nae alifariki.Wale vijana wa kizanzibar mpaka leo wapo hapo London.Ndege ya ATC ilitekwa kwa mabomu na pistol za mbao, seriously. Captain na crew yake walitaka kwenda London, na siyo kwamba walihofia maisha yao. Baada ya kufika London, hakuna abiria waliyoomba hifadhi ya kisiasa au kugoma kurudi zaidi ya Watekaji?
Unamkumbuka na Yule mdogo wake anayeitwa Marietha?Daa huyu jamaa tulipiga naye mitungi sana Qbar na Kilimanyege kona ya Masaki. R.i.P Le Captain
Mkuu mtu chake Rais Kabila Sasa yupo wapi? Hasikiki kabisayasin memba, huyu ndo aliyeteka na wenzie nae amefariki..
Alikua akiitwa Mousa Member aka Member Leeyasin memba, huyu ndo aliyeteka na wenzie nae amefariki..
Huna jipya kaa kimya. Najua hayo yote na zaidi. Nilikuwa nafuatilia hii kesi kwenye magazeti ya Uhuru na Mzalendo pamoja na Daily News enzi hizo. Wee nadhani ulikuwaa aidha hujazaliwa au toddler unanyea nappy.Hujui kitu wewe, walioteka walipofika Stanstead Airport waliomba hifadhi ya kisiasa na wakafungwa. walipotoka wakaishi kikimbizi,. Moussa Memba, Yasin Member na vijana wawili wa kizanzibar waliokulia Dar. Moussa alirejea bongo akakamatwa alifia jela. Yasini nae alirudi bongo kwenye 2000s bahati mbaya nae alifariki.Wale vijana wa kizanzibar mpaka leo wapo hapo London.
Kwahiyo wale abiria mateka waliruhusiwa kuingia mitaani London baada ya kuwasili Stanstead Airport hadi waonane na bii kizee na mbwa wake? Kuna ukweli wowote hapa?Walitua Stanstead, London kipindi cha winter wakitokea Dar es Salaam hali wamevaa mashati na wengine T-shirt.
Walipigwa na baridi ambayo walidai wasingeweza kuisahau maishani mwao. Huu ni ushuhuda wa mmoja wa wazee waliokuwa wahanga wa hiyo hi- jack.
Walipata msaada wa mavazi ya kujikinga na baridi baada ya kuonewa huruma na bi kizee mmoja aliyekuwa akitembeza mbwa wake jirani na uwanja huo ambako aliwaona wakitetemeka kwa baridi.
Tatizo lako ni kudhani kwamba kila asiyesema 'ndiyo mzee' kwa mbowe na lisu basi ni ccm!Na bado hamuachi kuendelea kulipwa buku saba za Lumumba.
Waachieni sasa vijana wa UVCCM nao wafaidi hizo buku saba.
Wahenga tumo wa kumwaga, usituone tunatukanwa na vijana wa chadema ukadhani sote ni 30s.
Unamkumbuka na Yule mdogo wake anayeitwa Marietha?
Lord Rajjpar alikuwa rafiki wa karibu sana wa Rashid Kawawa, kwani walitoka Wote huko kusini mwa nchi kwa hiyo mara nyingi akimkingia kifua alipopata matatizo!! Kuna wakati walimuandama sana SIMBA WA VITA juu ya uhusiano wake na Rajjpar, akawajibu mbona hamumsakami Nyerere juu ya uhusiano wake na Amir Jamal? Akawaambia kila MTU na MUHINDI WAKE !! Ngoma Ikawa droo na ukawa kwisho wao kumuhasama Kawawa kwasababu ya Rajjpar!lord rajipar nyumba zake pale mikocheni wamepewa maafisa wa polisi
Hahaahaha ila huyu mzee sometime alikuwa wa ajabu sana.Walikuwa ni mtu na kaka yake, na wote brand cars zao zilikuwa ni Volvo, enzi hiyo mawaziri gari zao zikiwa ni Pegeot 504 number zikiwa STC na STD!. Gari za polisi zilikuwa Landrover 109, na escort ya Nyerere ilikuwa Peogeot 404. Benzi yenyewe ya Nyerere naomba nisiseme, ila kulikuwa na mhindi tajiri kwa jina la Lord Rajipar, akaleta Benz kali kuliko ya Rais, S Class 500 miaka hiyo!. alitiwa ndani kwa uhujumu!.
Rip Capt. Mazula umetukumbusha mbali!.
P
Amen!Mungu amtangulie aendako.
Wote mseme Amen🙏🙏🙏
Na mimi nilishagundua hilo, unaweza kuwa unatukana kisela-sela-jinga kumbe unamtukana baba/mama/ babu/nyanya yako.Humu kuna Babu , Baba zako hivyo ni lazima uwe na heshima ama sivyo unaweza pata laana VIRTUALLY!!!!