Rostam Aziz kuhusu Lowassa

“Nimeishi na Edward Lowassa nyumba moja Dodoma kwa miaka 15. Namfahamu kuliko wengi. Alikuwa Kiongozi mwenye nidhamu ya hali ya juu, mwenye akili tulivu, mcha Mungu wa dhati, mnyenyekevu na mwenye kauli thabiti.

Nidhamu ndiyo jambo linalotofautisha umahiri wa Edward na wengine wengi. Taifa limepoteza kiongozi mzalendo mwenye mapenzi ya kweli kwa nchi yake.”

Rostam Azizi
Rafiki wa Edward Lowassa
12 Februari, 2024

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app

Amesema kweli kabisa...Bwana huyu alikuwa anafunga Kila Ijumaa na kuomba Kwa bidii sana. Mungu amrehemu baba yetu Hayati Edward Ngoyai Lowasa
 
Unafiki mkubwa,wakati serikali ya ccm,ikitumia vyombo vya dola ambavyo vipo very politicized, maneno haya hayakusikika,kenges kabisa
 
“Nimeishi na Edward Lowassa nyumba moja Dodoma kwa miaka 15. Namfahamu kuliko wengi. Alikuwa Kiongozi mwenye nidhamu ya hali ya juu, mwenye akili tulivu, mcha Mungu wa dhati, mnyenyekevu na mwenye kauli thabiti.

Nidhamu ndiyo jambo linalotofautisha umahiri wa Edward na wengine wengi. Taifa limepoteza kiongozi mzalendo mwenye mapenzi ya kweli kwa nchi yake.”

Rostam Azizi
Rafiki wa Edward Lowassa
12 Februari, 2024

Marehemu lazima asifiwe...
 
“Nimeishi na Edward Lowassa nyumba moja Dodoma kwa miaka 15. Namfahamu kuliko wengi. Alikuwa Kiongozi mwenye nidhamu ya hali ya juu, mwenye akili tulivu, mcha Mungu wa dhati, mnyenyekevu na mwenye kauli thabiti.

Nidhamu ndiyo jambo linalotofautisha umahiri wa Edward na wengine wengi. Taifa limepoteza kiongozi mzalendo mwenye mapenzi ya kweli kwa nchi yake.”

Rostam Azizi
Rafiki wa Edward Lowassa
12 Februari, 2024
Jamani muulizeni Rostam Aziz alizaliwa kijiji gani hapa TZ na alisoma shule gani ya msingi. Au muulizeni class mate wake yoyote wa shule ya Msingi. Nchi hii ufisadi na Rostam Azizi ni synonymous
 
“Nimeishi na Edward Lowassa nyumba moja Dodoma kwa miaka 15. Namfahamu kuliko wengi. Alikuwa Kiongozi mwenye nidhamu ya hali ya juu, mwenye akili tulivu, mcha Mungu wa dhati, mnyenyekevu na mwenye kauli thabiti.

Nidhamu ndiyo jambo linalotofautisha umahiri wa Edward na wengine wengi. Taifa limepoteza kiongozi mzalendo mwenye mapenzi ya kweli kwa nchi yake.”

Rostam Azizi
Rafiki wa Edward Lowassa
12 Februari, 2024
Rostam kuishi na Lowassa nyumba moja Dodoma kwa miaka 15, kwa vipi? ...Hii inahitaji ufafanuzi zaidi!.
 
Back
Top Bottom