babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,281
- 16,269
Hao wanajuana sana tu kwenye deal zao,haongopiHaya yote wangesema akiwa hai
Hao wanajuana sana tu kwenye deal zao,haongopiHaya yote wangesema akiwa hai
“Nimeishi na Edward Lowassa nyumba moja Dodoma kwa miaka 15. Namfahamu kuliko wengi. Alikuwa Kiongozi mwenye nidhamu ya hali ya juu, mwenye akili tulivu, mcha Mungu wa dhati, mnyenyekevu na mwenye kauli thabiti.
Nidhamu ndiyo jambo linalotofautisha umahiri wa Edward na wengine wengi. Taifa limepoteza kiongozi mzalendo mwenye mapenzi ya kweli kwa nchi yake.”
Rostam Azizi
Rafiki wa Edward Lowassa
12 Februari, 2024
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
“Nimeishi na Edward Lowassa nyumba moja Dodoma kwa miaka 15. Namfahamu kuliko wengi. Alikuwa Kiongozi mwenye nidhamu ya hali ya juu, mwenye akili tulivu, mcha Mungu wa dhati, mnyenyekevu na mwenye kauli thabiti.
Nidhamu ndiyo jambo linalotofautisha umahiri wa Edward na wengine wengi. Taifa limepoteza kiongozi mzalendo mwenye mapenzi ya kweli kwa nchi yake.”
Rostam Azizi
Rafiki wa Edward Lowassa
12 Februari, 2024
Jamani muulizeni Rostam Aziz alizaliwa kijiji gani hapa TZ na alisoma shule gani ya msingi. Au muulizeni class mate wake yoyote wa shule ya Msingi. Nchi hii ufisadi na Rostam Azizi ni synonymous“Nimeishi na Edward Lowassa nyumba moja Dodoma kwa miaka 15. Namfahamu kuliko wengi. Alikuwa Kiongozi mwenye nidhamu ya hali ya juu, mwenye akili tulivu, mcha Mungu wa dhati, mnyenyekevu na mwenye kauli thabiti.
Nidhamu ndiyo jambo linalotofautisha umahiri wa Edward na wengine wengi. Taifa limepoteza kiongozi mzalendo mwenye mapenzi ya kweli kwa nchi yake.”
Rostam Azizi
Rafiki wa Edward Lowassa
12 Februari, 2024
Rostam kuishi na Lowassa nyumba moja Dodoma kwa miaka 15, kwa vipi? ...Hii inahitaji ufafanuzi zaidi!.“Nimeishi na Edward Lowassa nyumba moja Dodoma kwa miaka 15. Namfahamu kuliko wengi. Alikuwa Kiongozi mwenye nidhamu ya hali ya juu, mwenye akili tulivu, mcha Mungu wa dhati, mnyenyekevu na mwenye kauli thabiti.
Nidhamu ndiyo jambo linalotofautisha umahiri wa Edward na wengine wengi. Taifa limepoteza kiongozi mzalendo mwenye mapenzi ya kweli kwa nchi yake.”
Rostam Azizi
Rafiki wa Edward Lowassa
12 Februari, 2024