Ricky Hatton Vs Floyd Mayweather- Nini utabiri wako?

Kana-Ka-Nsungu

JF-Expert Member
Oct 4, 2007
2,257
354
Wataalamu wa maswumbwi wamelibatiza pambano hili la ubingwa wa dunia uzito wa junior welterweight kati ya Ricky Hatton (43-0,31 KOs) na Floyd Mayweather(38-0,24 KOs) kwa jina la "UNDEFEATED". Nimeusubiri sana mpambano huu na thanks God, tarehe 8 December ndio hiyo inakaribia tujue mbabe nani. Unadhani nani atashinda? na mshindi atashinda vipi na kwa nini? Binafsi naamini style ya Ricky ya "pressure- pressure" toka mwanzo hadi mwisho na physical stenght yake itakua tatizo kwa Floyd. Mayweather ana ngumi za chapchap na ni mwepesi sana kuliko Ricky, lakini sina hakika kama amewahi kuzichapa na mtu yeyote mwenye style kama ya Ricky. Sioni uwezekano wa Mayweather kum knock out Hatton kwa kuwa sio "power puncher" kama Kotsya Tszyu ambaye alijaribu na kushindwa. Siamini speed ya Mayweather itamfikisha mbali kama anavyotaka katika mpambano huu, Hatton atakuja na style ambayo itampunguza kasi, itamchosha na mwishowe atammaliza. Hatton is like a bull. As you can probably imagine by now, I choose Hatton to win by late TKO. What is your opinion and prediction on this?
 
Hatton is £10million Vegas hit

By PAT SHEEHAN

Published: Today
rigTeaserImage

RICKY HATTON is in line for a £10million pay day as the cash generated by his fight with Floyd Mayweather tops all expectations.

Hitman Hatton will scoop the richest purse of his career when he bids to take Mayweather's WBC welterweight title in Las Vegas a week tomorrow.

And conservative estimates reckon the showdown is set to bring in close to a staggering £60m with the British star getting his share.

Pay-per-view sales in the States are expected to top 1.5m which will net £41.25m.

And all 16,000 tickets to see the fight live at the MGM Grand Hotel were snapped up within 30 minutes of going on sale, generating another £5m.

On top of that, other casino-hotels on the Vegas strip will screen the fight - and so far 18,000 tickets have been sold worth around £500,000.

But that figure is sure to grow when ticketless Brits arrive.

Plenty booked flights to Vegas months ago despite only a faint chance of getting in to see Hatton's fight in person.

The face of boxing

Here in the UK, Sky Box Office are also screening the fight with around 400,000 viewers coughing up around £6m.

And major firms are falling over themselves to be associated with the richest non-heavyweight title fight of all time, coughing up £5m in sponsorship deals.

When Hatton fought in the UK, his opponents always expected to bank their biggest ever purse. Kostya Tszyu pocketing more than £2m for his bout in Manchester in June 2005.

But Mayweather insists HE is the draw in Vegas and rapped: "I'm the face of boxing!"

The unbeaten American, 30, added: "When Oscar de la Hoya faced all those other guys, he didn't get what he got when he faced me. I was his biggest payday.

Floyd Mayweather

ON THE MONEY ...
Mayweather yesterday

"Zab Judah made his biggest payday with me, Carlos Baldomir had his biggest payday with me, Ricky Hatton is getting his highest ever purse. The list goes on and on."

While Hatton is a national hero this side of the Atlantic, America is still split over Mayweather who loves to antagonise with his flash lifestyle and outrageous comments.

Richard Schaefer, CEO of the fight's Promoter's Golden Boy Promotions, said: "Floyd has something like no other fighter - half of his audience absolutely loves the guy, the other half doesn't.

"They love him for his talent, his smile, how flashy he is, everything he stands for and how brilliant in the ring he is.

"The other half, they hate the guy. They can't wait for him to lose.

"It drives them crazy when they see him throwing money around and they ask what kind of a signal does that send to the youth.

"You have these two big groups with different agendas, but one thing in common: They all want to see him fight."
 
Duuh, I am struggling to call this one.
But I go for Pretty Boy.
Sasa siku hiyo kuna sherehe ya TZ Day hapa London, najiuliza niache kweli hii mechi??? Aaaah, ngoja ni-book kabisa.
Tatizo mechi kama hii, wakati wa mapumziko matangazo kibaoooooooo na analysis close to zero, inaboa kishenzi!!
 
Nafikiri main event itakua around 2am kwa UK so unaweza enjoy TZ day yako na bado ukaliona pambano hili, jinsi siku zinavyosoge ndo nazidi kuamini kuwa its gonna be Ricky's day...watch this space.
 
Mayweather by a KO in the 10th round. Si unakumbuka mcheza kwao hutuzwa? Nasikia kuna wa kutoka kwa mama kama 20,000 wameshuka hapo LV kuja kumfagilia kijana wao, It'll be a good one though.
 
Mayweather by a KO in the 10th round. Si unakumbuka mcheza kwao hutuzwa? Nasikia kuna wa kutoka kwa mama kama 20,000 wameshuka hapo LV kuja kumfagilia kijana wao, It'll be a good one though.

Bubu if there is any KO in this fight it will come from the mancunian,Floyd anaweza kushinda kama hi fight itaenda mpaka mwisho.Uliona weigh in jana? Yaani Floyd ndo alikua kama yuko ugenini, he was being booed and I could see some fear in his eyes!
 
Personally, I can't say anything but Hatton is worrying me...I like the way Mayweather fights..but mmh Hatton's pressure.....let's wait.
 
Bubu if there is any KO in this fight it will come from the mancunian,Floyd anaweza kushinda kama hi fight itaenda mpaka mwisho.Uliona weigh in jana? Yaani Floyd ndo alikua kama yuko ugenini, he was being booed and I could see some fear in his eyes!

KK hiyo ni kawaida kwa Marekani, siku zote watamshangilia mzungu anayetoka kokote kule duniani badala ya kumshangilia Mmarekani mweusi. Hutokea sana katika mashindano ya Tennis, ambapo Venus na Serena si wageni wa jambo hilo. Nilikuwa sina mpamgo wa kuangalia pambano hilo, lakini baada ya kuangalia promotion kali zinazofanywa na watakaotangaza pambano hilo na pia kujua huyu wa kwa mama naye ni undefeated basi nami nitaliangalia pambano hilo. Hopefully halitaisha baada ya round mbili...:) at least 7 rounds.
 
KK hiyo ni kawaida kwa Marekani, siku zote watamshangilia mzungu anayetoka kokote kule duniani badala ya kumshangilia Mmarekani mweusi. Hutokea sana katika mashindano ya Tennis, ambapo Venus na Serena si wageni wa jambo hilo. Nilikuwa sina mpamgo wa kuangalia pambano hilo, lakini baada ya kuangalia promotion kali zinazofanywa na watakaotangaza pambano hilo na pia kujua huyu wa kwa mama naye ni undefeated basi nami nitaliangalia pambano hilo. Hopefully halitaisha baada ya round mbili...:) at least 7 rounds.

Watch this space Bubu, I'll be proudly posting something here on sunday morning. Go on Ricky!!
 
Ikiwa imesalia masaa machache kabla ya kidumbwedumbwe hichi kuanza, my prediction is still the same. Mayweather by KO in the 10th round.
 
Mimi nawish Mayweather ashinde ila sasa huo usongo wa huyo *** Hatton ndio unanitia wasiwasi. Lakini naungana na maoni ya Lennox Lewis kuwa kama pambano litakuwa fupi basi Hatton atashinda lakini likiwa refu basi huyo dancer Myweather ataongezea ujiko hapo.
 
Raundi ya 6, Muda wa Hatton kushinda umeshapita hehee.....haya tusubiri pretty boy afanye vitu.
 
Hahaaaaaaaaaa,
Washabiki wa Hatton mko wapi??????????
Mnaona Hatton alivyo mzito??? Waingereza watangazaji wanakauka sauti.
 
afu hii mikono anayopewa **** ishamharibu akili... Mayweather ni noma... Inabidi Hatton avizie KO tu
 
afu hii mikono anayopewa kitimoto ishamharibu akili... Mayweather ni noma... Inabidi Hatton avizie KO tu

Avizie kivipi. Jamaa mzito. Hatton anaruka na miguu miwili...wakati Pretty Boy ana dance. Hatton akiruka/move na miguu miwili akitua ni ngumi. Knockout
 
Back
Top Bottom