Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 17,975
- 32,537
Kuna taarifa za chini chini richi kaachwa na Jack sababu kila mtu kashindwa kuwa mvumilivu kwa mwezie.
Sasa mwazo Jack alikuwa anahisi kama mumewe ana videmu uko nje akaanza vizia simu ya mumewe akaja kukutana wanaitana bby na mwanaume mwezie hakuamini.
Alijaribu kuvumilia akashindwa akaenda kwa Bonita pale ndio huwa wanakutana mastaa akaomba ushauri afanye nini?
Imepita muda sana wakiwa kwenye mgogoro huo lakini wanakosa cha kufanya wameishi hakuna kupostiana wala kupeana hi ni mnuno.
Ila mpaka sasa hivi naongea wameachana na kila mtu kabeba kilicho chake.
Sasa mwazo Jack alikuwa anahisi kama mumewe ana videmu uko nje akaanza vizia simu ya mumewe akaja kukutana wanaitana bby na mwanaume mwezie hakuamini.
Alijaribu kuvumilia akashindwa akaenda kwa Bonita pale ndio huwa wanakutana mastaa akaomba ushauri afanye nini?
Imepita muda sana wakiwa kwenye mgogoro huo lakini wanakosa cha kufanya wameishi hakuna kupostiana wala kupeana hi ni mnuno.
Ila mpaka sasa hivi naongea wameachana na kila mtu kabeba kilicho chake.