Rekodi zinaonesha kuwa Simba SC ni klabu bora zaidi Afrika Mashariki

SALAAM WAKUU.

Wakuu kama tunavyofahamu kuwa Al ahly ndio bora zaidi Afrika ikiwa ndio timu yenye mengi ya kimataifa kuliko timu zote duniani.

Kwa iyo ili kupima ubora lazima uangalie rekodi zako pindi unapokutana nae. Leo katika kuangalia rekodi nimegundua kuwa Simba ndio yenye rekodi bora zaidi dhidi ya Al Ahly kwa timu za Afrika mashariki kwani hakuna mbabe kati yao.

SIMBA VS AL AHLY.
MECHI 8.
SIMBA AMESHINDA 3.
DRAW 2.
AL AHLY AMESHINDA 3.

NB: UKIBISHA LETE REKODI YA TIMU YAKO DHIDI YA AL AHLY.
Sawa Mwakarobo FC hongereni kwa kufa kiume. Badala ya kupambana msonge mbele mnabaki kila mwaka kujisifia vitu visivyoeleweka. Ingekuwa timu ya malengo kweli miaka yote walau mngekuwa mnavuka hiyo hatua. Yaani mbumbumbu mnaridhika kuishia robo, mnachekesha nyie.
 
SALAAM WAKUU.

Wakuu kama tunavyofahamu kuwa Al ahly ndio bora zaidi Afrika ikiwa ndio timu yenye mengi ya kimataifa kuliko timu zote duniani.

Kwa iyo ili kupima ubora lazima uangalie rekodi zako pindi unapokutana nae. Leo katika kuangalia rekodi nimegundua kuwa Simba ndio yenye rekodi bora zaidi dhidi ya Al Ahly kwa timu za Afrika mashariki kwani hakuna mbabe kati yao.

SIMBA VS AL AHLY.
MECHI 8.
SIMBA AMESHINDA 3.
DRAW 2.
AL AHLY AMESHINDA 3.

NB: UKIBISHA LETE REKODI YA TIMU YAKO DHIDI YA AL AHLY.
Kufa Kiume FC aka Mwakarobo FC wazee wenyewe.
 
Leo ndio nimeamini uchawi kwenye mpira upo,kipindi Cha kwanza kina Tau walikua wakifika golini ,badala ya kufunga ,wanakua hawaelewi cha kufanya.wanaishia kupoteza,bila hivyo leo ilikua iishe 5 -1
Hivi nyie Utopolo hamnaga Kazi za kufanya kila siku mnashinda mtandaoni kuweka upotoshaji wa mambo,Simba ameshiriki ligi bora kabisa(AFL)katika sayari yetu Dunia kwa kuwa na ubora mkubwa kabisa kushinda Timu lenu lenye ubingwa wa kisiasa hapa nchini.
 
Tz Kuna wapumbavu ndio maana hata umeme unaporudi mijitu mnashangilia huoooo!!.
Yaani unakuwa bora kwakutoa draw na Al Ahly?, Huyo usm Algers aliyemkanda asemeje? Hebu tupunguze upumbavu?. Ubora unakura hamsaa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom