Rais mpya wa Senegal aliyechaguliwa kwenye duru ya kwanza Faye mwenye mwaka 44, ameingia leo Ikulu na wake zake wawili, Marie Khone ambaye amedumu nae takribani miaka 15 kama mke wa kwanza na wana watoto wa nne, Absa ndo mke wa pili ambae amekaa nae zaidi ya mwaka.
Ameapa kupambana na ushoga nchini mwake akianza urais wake akisema ushogaa ni uchafu i kamwe hatuwezi kuupokea nchini Senegal.
Ameapa kupambana na ushoga nchini mwake akianza urais wake akisema ushogaa ni uchafu i kamwe hatuwezi kuupokea nchini Senegal.