#HABARI Rais wa Iran Ebrahim Raisi pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo Hossein Amir-Abdollahian na wengine kadhaa wamethibitishwa kufariki dunia katika ajali ya helikopta iliyotokea jana Jumapili Kaskazini-Magharibi mwa Iran hii ni kwa mujibu wa runinga ya Taifa hilo.

Taarifa za awali zilieleza kuwa hali mbaya ya hewa ikiwemo ukungu katika eneo ilipotokea ajali hiyo, ulifanya helikopta hiyo kushindwa kutua wakati Rais huyo na ujumbe wake wakielekea mji wa Tabriz uliopo Kaskazini Magharibi mwa Iran.

Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu mapema leo waokoaji walilipata eneo ilipoanguka helikopta hiyo na kuelezwa kwamba ulikuwa imeteketea kabisa.

Helikopta hiyo ni miongoni mwa helikopta tatu zilzokuwa katika msafara huo, ambapo mbili inaelezwa zilitua salama.

#EastAfricaTV
 

Attachments

  • FB_IMG_1716183955874.jpg
    FB_IMG_1716183955874.jpg
    35.7 KB · Views: 2
Nipe hiyo aya kutoka kwenye Quran
There is no one whom Allah will admit to Paradise but Allah will marry him to seventy-two wives, two from houris and seventy from his inheritance from the people of Hell, all of whom will have desirable front passages and he will have a male member that never becomes flaccid (i.e., soft and limp).โ€™โ€
ุญูŽุฏู‘ูŽุซูŽู†ูŽุง ู‡ูุดูŽุงู…ู ุจู’ู†ู ุฎูŽุงู„ูุฏู ุงู„ุฃูŽุฒู’ุฑูŽู‚ู ุฃูŽุจููˆ ู…ูŽุฑู’ูˆูŽุงู†ูŽ ุงู„ุฏู‘ูู…ูŽุดู’ู‚ููŠู‘ูุŒ ุญูŽุฏู‘ูŽุซูŽู†ูŽุง ุฎูŽุงู„ูุฏู ุจู’ู†ู ูŠูŽุฒููŠุฏูŽ ุจู’ู†ู ุฃูŽุจููŠ ู…ูŽุงู„ููƒูุŒ ุนูŽู†ู’ ุฃูŽุจููŠู‡ูุŒ ุนูŽู†ู’ ุฎูŽุงู„ูุฏู ุจู’ู†ู ู…ูŽุนู’ุฏูŽุงู†ูŽุŒ ุนูŽู†ู’ ุฃูŽุจููŠ ุฃูู…ูŽุงู…ูŽุฉูŽุŒ ู‚ูŽุงู„ูŽ ู‚ูŽุงู„ูŽ ุฑูŽุณููˆู„ู ุงู„ู„ู‘ูŽู‡ู ู€ ุตู„ู‰ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู… ู€ โ€ "โ€ ู…ูŽุง ู…ูู†ู’ ุฃูŽุญูŽุฏู ูŠูุฏู’ุฎูู„ูู‡ู ุงู„ู„ู‘ูŽู‡ู ุงู„ู’ุฌูŽู†ู‘ูŽุฉูŽ ุฅูู„ุงู‘ูŽ ุฒูŽูˆู‘ูŽุฌูŽู‡ู ุงู„ู„ู‘ูŽู‡ู ุนูŽุฒู‘ูŽ ูˆูŽุฌูŽู„ู‘ูŽ ุซูู†ู’ุชูŽูŠู’ู†ู ูˆูŽุณูŽุจู’ุนููŠู†ูŽ ุฒูŽูˆู’ุฌูŽุฉู‹ ุซูู†ู’ุชูŽูŠู’ู†ู ู…ูู†ูŽ ุงู„ู’ุญููˆุฑู ุงู„ู’ุนููŠู†ู ูˆูŽุณูŽุจู’ุนููŠู†ูŽ ู…ูู†ู’ ู…ููŠุฑูŽุงุซูู‡ู ู…ูู†ู’ ุฃูŽู‡ู’ู„ู ุงู„ู†ู‘ูŽุงุฑู ู…ูŽุง ู…ูู†ู’ู‡ูู†ู‘ูŽ ูˆูŽุงุญูุฏูŽุฉูŒ ุฅูู„ุงู‘ูŽ ูˆูŽู„ูŽู‡ูŽุง ู‚ูุจูู„ูŒ ุดูŽู‡ููŠู‘ูŒ ูˆูŽู„ูŽู‡ู ุฐูŽูƒูŽุฑูŒ ู„ุงูŽ ูŠูŽู†ู’ุซูŽู†ููŠ โ€"โ€ โ€.โ€ ู‚ูŽุงู„ูŽ ู‡ูุดูŽุงู…ู ุจู’ู†ู ุฎูŽุงู„ูุฏู ู…ูู†ู’ ู…ููŠุฑูŽุงุซูู‡ู ู…ูู†ู’ ุฃูŽู‡ู’ู„ู ุงู„ู†ู‘ูŽุงุฑู ูŠูŽุนู’ู†ููŠ ุฑูุฌูŽุงู„ุงู‹ ุฏูŽุฎูŽู„ููˆุง ุงู„ู†ู‘ูŽุงุฑูŽ ููŽูˆูŽุฑูุซูŽ ุฃูŽู‡ู’ู„ู ุงู„ู’ุฌูŽู†ู‘ูŽุฉู ู†ูุณูŽุงุกูŽู‡ูู…ู’ ูƒูŽู…ูŽุง ูˆูุฑูุซูŽุชู ุงู…ู’ุฑูŽุฃูŽุฉู ููุฑู’ุนูŽูˆู’ู†ูŽ โ€.โ€
English reference : Vol. 5, Book 37, Hadith 4337
Arabic reference : Book 37, Hadith 44


Dini ya ajabu sana hii
 
Iran inaonesha wamewekeza sana kwenye defence system na kutengeneza makombora lakini kwenye angle nyingine bado wapo nyuma tofauti na tunavyo aminishwa kwenye press TV maana gari zote tunazoshuhudia kwenye swala zima la uokoaji tena kiongozi mkuu wa nchi ni za kijapani.
Iran ndege ya Rais imedondoka wamefika eneo la tukio baada ya masaa 16.

Wakati Kaskazini mwa India kule Ladakh ambapo wana mgogoro na China kuna milima mikali ni uwanda wa juu sana na ukungu ni almost kila siku ila huwa wanarespond haraka kwa ajari.

Marekani F-35 ilidondoka baharini wakatuma vifaa viiondoe kwenye sakafu ya bahari. Hawa Iran wanasingizia hali ya hewa mbaya. Au kuna mkono wa mtu.
Anyway apumzike kwa amani na FM pia
1000416951.jpg
 
Huyo Kanjibai wamminye mbupu mpaka aseme waliomtuma
Wahindi ni vibaraka wa mayahudi , ilikuwa ni mistake kuwatrust makanjibai wakati mko vitani na mazayuni
 
Washafanya yao sasa
Wamefanya nini wambie basi wamtoe Khomeini kama wanaweza toka 1979 wamemshindwa, baba yake mpaa alipokufa kwa maradhi, na huyo mwanae toka baba yake kafa yupo au Ahmed Najat ambaye ndio alikuwa adui yao mkubwa mbona yuko hai.
 
Usifurahie vifo vya watu sababu ya itikadi zako. Mungu pia anaweza kukuadhibu na wewe upatwe na msiba mzito ndani ya familia yako. Nyie mnafurahia kusikia watu wanakufa Gaza/Israel na kule Ukraine KISA TU USHABIKI NA ITIKADI. KWA JINSI ULIVYOFURAHIA KIFO CHA HUYO RAIS WA IRAN NADHANI MUNGU AKUFUNDISHE TU , OTHERWISE OMBA HIYO ROHO YAKO ITAKASWE NA USAMEHEWE
Muajemi huyo yupo kwenye maombolezo ya kitaifa kwa kufiwa na Rais wake. Alawakubar
 
Back
Top Bottom