Nantahulila
JF-Expert Member
- Sep 20, 2018
- 2,297
- 1,928
Washafanya yao sasaNamjua kuliko unavyo mjua wewe, ni mioga sana hata jiwe analiogopa na wakati ana bunduki na kifaru ๐
Washafanya yao sasaNamjua kuliko unavyo mjua wewe, ni mioga sana hata jiwe analiogopa na wakati ana bunduki na kifaru ๐
Andikeni Kiswahili tu. Mnatuvurundia Kimalkia chetu.Correction, overcame sio overcome. Kifo/matatizo sio adhabu kwa watenda maovu.
Kwa sababu asiye muislam atakosa mabikra 72?kafa akiwa muislam. Muonee huruma aliekufa akiwa sio muislam
There is no one whom Allah will admit to Paradise but Allah will marry him to seventy-two wives, two from houris and seventy from his inheritance from the people of Hell, all of whom will have desirable front passages and he will have a male member that never becomes flaccid (i.e., soft and limp).โโNipe hiyo aya kutoka kwenye Quran
Basi raisi ni marehemu muda huu anajilia bikra zake 72 peponiHata mimi nashindwa kuelewa.
Maana hata vyombo vya habari vya kimataifa ikiwemo France24 wanasema lile eneo la Azerbaijan province haliko rafiki kwa chopper.
Kama ameondoka akiwa hana dhambi yes, lakini kama anazo hizo sasa hizo ni between yeye na Mungukafa akiwa muislam. Muonee huruma aliekufa akiwa sio muislam
Iran ndege ya Rais imedondoka wamefika eneo la tukio baada ya masaa 16.Iran inaonesha wamewekeza sana kwenye defence system na kutengeneza makombora lakini kwenye angle nyingine bado wapo nyuma tofauti na tunavyo aminishwa kwenye press TV maana gari zote tunazoshuhudia kwenye swala zima la uokoaji tena kiongozi mkuu wa nchi ni za kijapani.
Wamefanya nini wambie basi wamtoe Khomeini kama wanaweza toka 1979 wamemshindwa, baba yake mpaa alipokufa kwa maradhi, na huyo mwanae toka baba yake kafa yupo au Ahmed Najat ambaye ndio alikuwa adui yao mkubwa mbona yuko hai.Washafanya yao sasa
Utakuta wakati unaandika huu utoko umekumbatiwa na padriBila shaka yeye pamoja na washirika wake watakuwa wanafurahia mabikira 72 motoni...
Muajemi huyo yupo kwenye maombolezo ya kitaifa kwa kufiwa na Rais wake. AlawakubarUsifurahie vifo vya watu sababu ya itikadi zako. Mungu pia anaweza kukuadhibu na wewe upatwe na msiba mzito ndani ya familia yako. Nyie mnafurahia kusikia watu wanakufa Gaza/Israel na kule Ukraine KISA TU USHABIKI NA ITIKADI. KWA JINSI ULIVYOFURAHIA KIFO CHA HUYO RAIS WA IRAN NADHANI MUNGU AKUFUNDISHE TU , OTHERWISE OMBA HIYO ROHO YAKO ITAKASWE NA USAMEHEWE