Mtutuwandei
JF-Expert Member
- Jun 28, 2022
- 996
- 1,342
Kwa hivyo walihongana.Hela za rushwa toka DP World wale waarabu aliowahonga bandari.
Kwa hivyo walihongana.Hela za rushwa toka DP World wale waarabu aliowahonga bandari.
Hili si suala la Wazanzibari tu.Wazanzibar unawajua au unawasikia? umewahi kuishi Zanzibar mkuu? mi naona anajitahidi sn maana wenzake ni balaa tupu na hovyo kabisa
Hii ni hatariZikitoka kwenye posho yake au kodi za wananchi, bado anachanganya dini na siasa.
Hatari sana, kwa nini watu wanajitia ujinga wa kutoelewa hili?Hii ni hatari
Mimi sijawasifia bali nimeongea ukweliYaani umeandika kwa mbwembwe na Madaha makubwa huku ukimsifia Bashite na raia namba moja kama vile wameumba dunia??
Acha hizo aiseee))
Kweli 100ml ni parefu ila punguza sifa ili Mungu awabariki waliotoa.
Tuacheni chuki binafsi ndugu yangu.Ifike mahali tutenganishe dini na siasa! Hii itafika siku Tanzania tukichagua rais asiye na dini. Sababu walio na dini hasa hizi mainstream hili la kutenganisha limewashinda. Ni rasilimali nyingi sana za nchi zinatumika kuwanufaisha wachache hasa wanaojifanya kufuata hizi dini 2 Tanzania
Watu wana washadadia wana siasa kwenye mambo yasiyo ya msingi sana pasipo kujali ustawi wa taifa. Bado tuna miundo mbinu mingi mibovu ambapo ingepelekwa hiyo hela ingeleta ahuweni kwenye jamiiHatari sana, kwa nini watu wanajitia ujinga wa kutoelewa hili?
Ni Dkt Mama Samia Suluhu Hasssan mpaka 2030.2025
Tunaenda na Josephat Gwajima.
Kuwa mjinga siyo tusi, “ignorant” yaani “hajui”, kwa hiyo ni mjinga.Huna adabu kabisa wewe na makuzi na malezi yako inaonyesha ulikosa walau hata kupata maelezo ya mama yako mzazi. Hivi unaanzia wapi kumtukana Rais wetu kuwa ni mjinga? Huna akili kabisa na umekosa kabisa adabu wewe.
Mkuu,Watu wana washadadia wana siasa kwenye mambo yasiyo ya msingi sana pasipo kujali ustawi wa taifa. Bado tuna miundo mbinu mingi mibovu ambapo ingepelekwa hiyo hela ingeleta ahuweni kwenye jamii
Kaka Lucas, wewe una ugonjwa wa kukubaliana na kila kitu kilichofanywa na mtu aliyepo madarakani. Siku ukiutibu huo ugonjwa utafanikiwa sanaTuacheni chuki binafsi ndugu yangu.
Nilichojifunza uchawa ni mbaya sana. Miaka ya mbeleni hali ikiendelea hivi tutapata nchi ya hovyo sana mkuuMkuu,
Unafikiri watu wanashadadia hivyo kwa ujinga, kwamba genuinely hawaelewi ubaya wa kuchanganya dini na siasa, na ukielezea hilo wanakushangaa wewe kwa kutoelewa na kuuliza "wewe viipi?".
Au, wanashadadia hivyo kwa kuelewa fika, ila wanaendekeza uchawa tu kwa kusema wanataka wanasiasa wanaowapenda washinde chaguzi "by any means necessary", ikiwamo hata kutumia siasa makanisani?
Kibaya zaidi, bajeti ya Ikulu haiko wazi, haifanyiwi auditing, haijulikani.Akitoa milioni 100 mshahara tunaomlipa wa miezi 10 baada ya hapo anaishije . Huu udwanzi uko africa tuuu bara la giza tororo pfuuuu
Mtu siyo dhalimu anahongaje bandari ya nchi?Hela za rushwa toka DP World wale waarabu aliowahonga bandari.
Kutoa ni moyo na si utajiri.Mheshimiwa Rais wetu kipenzi anastahili pongezi sana kwa moyo wake wa kujitoa na kujitolea na kujali maisha ya watanzania.Akitoa milioni 100 mshahara tunaomlipa wa miezi 10 baada ya hapo anaishije . Huu udwanzi uko africa tuuu bara la giza tororo pfuuuu