Ulishaona kwenye orodha ya wapiga kelele darasani jina la monita wa darasa likawemo, kwa hiyo usishangae kwenye hiyo orodha ya wanunua machangudoa hapo dodoma jina la katambi likakosekana, pamoja na kutokuwa na mke...Huyu Katambi so ndo juzi alijidai kutaka kutoa orodha ya wabunge wanaochukua wanaochukua machangu kumbe hajaoa nae huwa anaenda kuchukua machangudoa mpaka anawajua wenzake wanaokutana kwa machangudoa.
Najua kuwa machangu ni wa wote waliooa na wasiooa.Nani kakudanganya kuwa wasio oa ndio wateja wa machangu?
Hahahaaa tafuta uongo mpya mkuu
Hakuna tatizo yeye ni babaKama wamehasiwa atawalazimisha tu waoe?
I think JPM is not right wajameni
Baba yao au?Hakuna tatizo yeye ni baba
Kuoa huko kwio!
mkuuuu mimi mwislam nimeoa woteKwahiyo unataka Kutuambia ya kwamba hao Wanawake Wawili uliowataja ( uliotutajia ) ulikuwa Unawanyiri ( Unawafanya ) kwa Kuwachanganya au?
Nashauri kuwe na maandamano ya kumpongeza kwa kauli hii ya kizalendo."eti wengine wapo Udom ,CBE na mipango
Mzee anajua kuchana live salute kwake
Sent using Jamii Forums mobile app
"Na wewe Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, ni mkubwa sasa, lakini uoe. Na Mkuu wa wilaya hujaoa, bado unajipikia. Huwezi kukaa na viongozi wakubwa hujaoa, wakati wasichana wapo, wengine UDOM na CBE."- Rais wa Tanzania, Dkt @MagufuliJP
Chanzo: swahilitimes
Katambi ananunua pale uhindiniHahahaha dongo hilo
Angewauliza pia wanajipooza Vp
Wanaishijiishiji
Ova
mkuuuuuuuuu kweli ni upuuziiiiMkurugenzi wa jiji hajaoa. Na ana kazi zaidi ya miaka 5.
Mtu anatoka huko amevimbiwa na ugali maharage na nyege mshindo anaoa anazaa halafu hana hata mia ya kulisha mke wala mtoto anaanza kusumbua watu.
Mwendo wa sabuni na mkonoHahahaha dongo hilo
Angewauliza pia wanajipooza Vp
Wanaishijiishiji
Ova
Yaan"eti wengine wapo Udom ,CBE na mipango
Mzee anajua kuchana live salute kwake
Sent using Jamii Forums mobile app