Rais Kikwete akifanya mazoezi Dodoma

Mbona amna king'ora sasa kinachopita
Inaelekea yule Rais wa Ujerumani kamwachia somo la kutosha.

Si unajua yule Presidaa wa Ujerumani yupo simple sana?

Ameenda Zenj kwa boti ya mwendo kasi, akashuka kutoka kwenye meli na kupigiwa mizinga 21 ya kijeshi kwa heshima yake pale pale bandarini, tofauti na waheshimiwa marais wenzake ambao huwa wanapigiwa mizinga hiyo, wanaposhuka kwenye madege yao ya kifahari kule airport.

Vile vile aliamua kupeana mikono na wananchi wa huko, wakati akipita njiani kuelekea kwenye hoteli aliyokuwa amefikia, umbali wa kilomita kama moja hivi toka hapo bandarini.

Inaelekea JK naye ameamua kuachana na utaratibu wa walinzi wake wa kumpa ulinzi wa 'kufa mtu' hata pale anapofanya jogging!
 
Inaelekea yule Rais wa Ujerumani kamwachia somo la kutosha.

Si unajua yule Presidaa wa Ujerumani yupo simple sana?

Ameenda Zenj kwa boti ya mwendo kasi, akashuka kutoka kwenye meli na kupigiwa mizinga 21 ya kijeshi kwa heshima yake pale pale bandarini, tofauti na waheshimiwa marais wenzake ambao huwa wanapigiwa mizinga hiyo, wanaposhuka kwenye madege yao ya kifahari kule airport.

Vile vile aliamua kupeana mikono na wananchi wa huko, wakati akipita njiani kuelekea kwenye hoteli aliyokuwa amefikia, umbali wa kilomita kama moja hivi toka hapo bandarini.

Inaelekea JK naye ameamua kuachana na utaratibu wa walinzi wake wa kumpa ulinzi wa 'kufa mtu' hata pale anapofanya jogging!

Mjerumani anajiamini sana .. Basi bora kajifunza tutamvizia tu
 
Uongozi shida yake huwezi kujiachia mitaani mda wote unalindwa tu ndani ya ndege au benz.
 


Si mchezo mheshimiwa yuko fiti kwa kweli.


Acha Kututesa Wewe. Ungeweka Tu Hiyo Picha Moja Kwa Moja Kuliko Kutupa Mlolongo Mrefu. au Ni Mazoezi Yake Yale Ya 6 by 6?
 
Last edited by a moderator:


Si mchezo mheshimiwa yuko fiti kwa kweli.


Mbona ma bodygurd wanaonekana kuchoka kuliko hata raisi wetu!! kwa hali hii bora hata wale wa Mugabe waliomwacha akagalagala chini.
 

Attachments

  • 1423549241692.jpg
    1423549241692.jpg
    53.3 KB · Views: 708
Last edited by a moderator:
Ukiwa rais ni lazima uwe fiti

Sio unataka urais wakati afya yako ni mgogoro
 
Back
Top Bottom