HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 69,530
- 94,996
Rais wa Marekani, Joe Biden atembelea Kyiv baada ya safari ya masaa 9 kwa treni kutoka Poland ambapo amewasili asubuhi ya leo
US president Joe Biden is on a surprise visit to Kyiv, where he's meeting with President Zelensky ahead of the one-year mark of Putin’s full-scale invasion of Ukraine. He left overnight and arrived by train in Kyiv this morning. He and Zelensky just visited St. Michael's Square.
Wakati huo huo Urusi imejiandaa shambulia Kyiv kwa makombora
Vingora vyalia sehemu mbali mbali za Ukraine
Jeshi la Marekani liko katika utayari nchini Poland.
US president Joe Biden is on a surprise visit to Kyiv, where he's meeting with President Zelensky ahead of the one-year mark of Putin’s full-scale invasion of Ukraine. He left overnight and arrived by train in Kyiv this morning. He and Zelensky just visited St. Michael's Square.
Wakati huo huo Urusi imejiandaa shambulia Kyiv kwa makombora
Vingora vyalia sehemu mbali mbali za Ukraine
Jeshi la Marekani liko katika utayari nchini Poland.