kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,073
- 18,104
Mshindi wa kiti cha Urais kenya atakua Raila Odinga na Martha Karua......Rutto na ushawishi wake na nguvu yake kamwe hawezi kuwa rais kamwe. Kwa mara ya kwanza Kenya historia inaenda kuandikwa leo tarehe 09 ni siku ya kura
Raila anachukua ushindi mapemaaa
Ruto hapati urais safari hii ruto hawezi ukwaa urais ana scandals chafu sana
Odinga will win last time alipata 47 nchi nzma sasa hapo wakikuyu wakimpa sijui itakuaje
Safari hii ana sapoti ya wakikuyu imagine wakikuyu milioni 10 hata apate voters milioni 4 tu kutoka kwa wakikuyu wa central kenya anashinda, msisahau Raila pia anakubalika sana Pwani, Nairobi, bado magharibi ambapo ni kwao.
Raila n msafi hana scandal
Martha ni msafi pia
Nawaambia ukweli ni kuwa raila atawin huu uchaguzi dhidi ya ruto
Raila anachukua ushindi mapemaaa
Ruto hapati urais safari hii ruto hawezi ukwaa urais ana scandals chafu sana
Odinga will win last time alipata 47 nchi nzma sasa hapo wakikuyu wakimpa sijui itakuaje
Safari hii ana sapoti ya wakikuyu imagine wakikuyu milioni 10 hata apate voters milioni 4 tu kutoka kwa wakikuyu wa central kenya anashinda, msisahau Raila pia anakubalika sana Pwani, Nairobi, bado magharibi ambapo ni kwao.
Raila n msafi hana scandal
Martha ni msafi pia
Nawaambia ukweli ni kuwa raila atawin huu uchaguzi dhidi ya ruto