Conwel Ngani
Senior Member
- Sep 16, 2018
- 134
- 149
Lengo la Mmarekani na washirika wake Nato ni kuhakikisha Urusi inafilisika kiuchumi. Na ili hilo lifanikiwe wanataka vita iendelee kwa muda mrefu ili Urusi idhoofike ndio maana tunaona hayo yanayoendelea.
Wengi tulidhani Ulaya ingeufyata kutokana na vikwazo wanavyowekewa na Urusi ila badala yake imewachochoea zaidi kuendelea kuisaida Ukraine.
Hawa jamaa sio wajinga, hii inaitwa calculated risk, wanaona bora waumie sasa ila kwa manufaa ya kudumu ya badae. Na mwisho wa siku hata rais ajaye wa Urusi si ajabu akalazimishwa kulipa hii hasara ya uvamizi ili kuondolewa vikwazo.
Wengi tulidhani Ulaya ingeufyata kutokana na vikwazo wanavyowekewa na Urusi ila badala yake imewachochoea zaidi kuendelea kuisaida Ukraine.
Hawa jamaa sio wajinga, hii inaitwa calculated risk, wanaona bora waumie sasa ila kwa manufaa ya kudumu ya badae. Na mwisho wa siku hata rais ajaye wa Urusi si ajabu akalazimishwa kulipa hii hasara ya uvamizi ili kuondolewa vikwazo.