DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 9,007
- 18,628
Aliwahi kuwa waziri asiye na wizara maalumu ambayo kwa Tafsiri ya haraka ni kama Waziri mkuu tuAmir Habib Jamal sidhani kama aliwahi kuwa waziri mkuu
Aliwahi kuwa waziri asiye na wizara maalumu ambayo kwa Tafsiri ya haraka ni kama Waziri mkuu tuAmir Habib Jamal sidhani kama aliwahi kuwa waziri mkuu
Waziri asiye na Wizara maalum hana hadhi ya Waziri Mkuu bali mteuzi amemuonea aibu kumtimua moja kwa moja kwahiyo ni kama amemuacha ajitafakari mwenyewe.Aliwahi kuwa waziri asiye na wizara maalumu ambayo kwa Tafsiri ya haraka ni kama Waziri mkuu tu
Elimu imeanza kuonewa kitambo aiseeRashidi Mfaume Kawawa alikua waziri wa elimu sio na sio waziri Mkuu wa Tanganyika na baadae JMT kama hutaki kumskia Moringe Sokoine 🐒
Hadhi ya waziri asiye na wizara maalum haijawahi kuwa sawa na ya Waziri Mkuu...Ofisi ya Waziri Mkuu imekuwepo kikatiba tangu Tanganyika iwe Jamhuri...Na kwa kipindi chote ambacho Jamal alihudumu kwenye baraza la mawaziri, Waziri Mkuu alikuwa pia ndiye Makamu wa Pili wa Rais..Hivyo, kwa vyovyote usingeweza kusema kwamba Waziri asiye na wizara maalum ni sawa na waziri mkuu....Amiri Jamal alizaliwa na wazazi wa Ki Gujarati au unaweza ukasema Wahindi wa Asili au wahindi mama yake aliitwa Kulsum Thawer na baba yake Habib Jamal, ambaye ndo mwanzilishi wa Asian Association..
Sasa kuhusu Yeye kuwa Waziri Mkuu nimetoa ufafanuzi Rudia kusoma Taratibu hiyo Post nimesema miaka kadhaa alikuwa waziri Mchangia au waziri asiye na wizara maalumu Hicho cheo kilikuwa ni sawa na waziri Mkuu..
Sijui hata unajua Neno Mtanzania ni kina nani?
Amiri Jamal hakuwa Mtanzania alikuwa i Muhindi hata alipofariki hakufanyiwa huduma hapa hana ndugu hata mmoja hapa..
Kwani Balali Alikufa Mkuu?Hadhi ya waziri asiye na wizara maalum haijawahi kuwa sawa na ya Waziri Mkuu...Ofisi ya Waziri Mkuu imekuwepo kikatiba tangu Tanganyika iwe Jamhuri...Na kwa kipindi chote ambacho Jamal alihudumu kwenye baraza la mawaziri, Waziri Mkuu alikuwa pia ndiye Makamu wa Pili wa Rais..Hivyo, kwa vyovyote usingeweza kusema kwamba Waziri asiye na wizara maalum ni sawa na waziri mkuu....
Kuhusu Jamal kutofanyiwa taratibu za mazishi Tanzania...hiyo peke yake haiondoi fact kwamba alikua ni Mtanzania.......Je tunaweza kusema late Daudi Balali-former BoT Governor-hakuwa Mtanzania kwa sababu tu hakuzikwa TZ?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙏alikuwa waziri asiye na wizara maalumu maana yake alikuwa waziri mkuu Na aliweza kufanya kazi wizara yoyote
Ndio waziri mkuu wa pili baada Ya NyerereSijui historia imenipita pembeni!! Nilijua Rashid Mfaume Kawawa alikuwa Waziri Mkuu Mstaafu!! Poor me!!
Hapana. Wakati wa utawala wa Kikwete Nadhani Mhandisi Mark Mwandosya aliwahi kuwa waziri asiye na wizara maalum kwaiyo tuseme naye alikuwa waziri mkuu?Aliwahi kuwa waziri asiye na wizara maalumu ambayo kwa Tafsiri ya haraka ni kama Waziri mkuu tu
Si kweli. Yeye hutumwa na raisi kwa utashi wa huyo raisi. Hivi karibuni nafikiri mzee mkuchika ana cheo kama hiko. CheckAliwahi kuwa waziri asiye na wizara maalumu ambayo kwa Tafsiri ya haraka ni kama Waziri mkuu tu
We kinyezi kabizaJiwe alizungushwa majiji yote ndipo akazikwa, walifupisha kwa kuwa aliua watu, alipora mali za watu, aliteka watu na kupiga watu risasi.
Sasa kwa huyu waziri mkuu mstaafu Edward Lowasa kwa kuwa alikuwa mtu wa watu atazungushwa mikoa yote na wilaya zote ndipo azikwe.
RIP Edo
Baada ya siku 45 alijiuzuru ili kuifanya nchi Jamhuri, waziri mkuu akawa Rashid Kawawa, then baada ya Vita 1979 akapewa Edward Sokoine, kisha akapewa Dr. Salim Ahmed Salim, then Cleopa David Msuya, Kisha Joseph Sinde Warioba, John Samuel Malechela, Fredrick Tulway Sumaye, Kisha Edward Lowasa, Mizengo Kayanza Pinda na sasa Majaliwa Khasim MajaliwaSikuwa na haja ya kumuandika Nyerere kwa sababu kipindi anakuwa Waziri Mkuu Tanganyika haikuwa Jamhuri ilkuwa ni Jimbo la Uingerez
Tofauti ya Mark mwandosya na Amir ni katiba iliyokuwa Inawaongoza kuhusu Majukumu Yao..Hapana. Wakati wa utawala wa Kikwete Nadhani Mhandisi Mark Mwandosya aliwahi kuwa waziri asiye na wizara maalum kwaiyo tuseme naye alikuwa waziri mkuu?
Kosa ni moja Tu uliposema Kujiuzuru Kujiuzuru kwa waziri Mkuu wa Tanganyika hakukufanya Tanganyika kuwa Jamhuri ila Bunge la Tanganyika lilipitisha katiba ya mwaka 1962 (Katiba ya Jamhuri) iliyofanya Tanganyika kutoka kwenye katika ya mwaka 1961 iliyokuwa inaitwa katiba ya uhuru..Baada ya siku 45 alijiuzuru ili kuifanya nchi Jamhuri, waziri mkuu akawa Rashid Kawawa, then baada ya Vita 1979 akapewa Edward Sokoine, kisha akapewa Dr. Salim Ahmed Salim, then Cleopa David Msuya, Kisha Joseph Sinde Warioba, John Samuel Malechela, Fredrick Tulway Sumaye, Kisha Edward Lowasa, Mizengo Kayanza Pinda na sasa Majaliwa Khasim Majaliwa
Wewe na bunge lako la Buza ndiye utuambie kama mliipitisha, sisi hatuwezi kujua1. Miaka zaidi ya 60 toka tupate Uhuru sijawahi kushuhudia Mazishi ya Waziri Mkuu (Mstaafu) Narudia WAZIRI MKUU (Mstaafu) usinitajie Sokoine.
2. Nimeshuhudia mazishi ya Rais, Rais Mstaafu na Makamu wa Rais (Mstaafu). Mwenye kujua taratibu zake zipoje?
3. Je Ile sheria ya Viongozi kuzikwa Dodoma ilipita Bungeni?
Tofautisha Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Kazi maalumu ) na waziri Asiye kuwa na Wizara maalumu..Si kweli. Yeye hutumwa na raisi kwa utashi wa huyo raisi. Hivi karibuni nafikiri mzee mkuchika ana cheo kama hiko. Check
Kazi maalum na asiyekuwa na wizara maalum ni sawa tu. Waziri una wizara au huna mengine ni mbwembwe tu. Kaka yangu mkuchika hana wizara.Tofautisha Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Kazi maalumu ) na waziri Asiye kuwa na Wizara maalumu..
ni Viwili tofauti tena mbali sana..
Kidogo ungemtaja Labda Mark mwandosya anaweza kulingana wizara japo Amir wizara yake Haikuwa Chini ya Ofisi ya Rais au waziri wa Nchi ofisi ya Rais..
lakini kingine katiba iliyokuwa Inawaongoza kuhusu Majukumu Yao Ziko tofauti pia..
Katiba ya jamhuri ya Tanganyika 1962,Katiba ya Muda ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar 1964 ni tofauti na katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977..
Imerekebishwa sanaa
Hana wizara Ila mema ya nchi anakula eg posho, usafir, nyumba, matibabu, connection/deals.Kazi maalum na asiyekuwa na wizara maalum ni sawa tu. Waziri una wizara au huna mengine ni mbwembwe tu. Kaka yangu mkuchika hana wizara.
Huna kumbukumbu Kama panzi. Tulipomzika Kawawa ulikua umelewa?1. Miaka zaidi ya 60 toka tupate Uhuru sijawahi kushuhudia Mazishi ya Waziri Mkuu (Mstaafu) Narudia WAZIRI MKUU (Mstaafu) usinitajie Sokoine.
2. Nimeshuhudia mazishi ya Rais, Rais Mstaafu na Makamu wa Rais (Mstaafu). Mwenye kujua taratibu zake zipoje?
3. Je Ile sheria ya Viongozi kuzikwa Dodoma ilipita Bungeni?