MINING GEOLOGY IT
Member
- Apr 6, 2024
- 99
- 114
Ni kazi ngumu kufikisha idara hii ya geology ambayo kwa kwetu imeonekana kama ina mchango mdogo wakati ndio yenye utajiri wa madini.
MINING GEOLOGY IT
Gharama inaweza kuwa ndogo kama maarifa ya elimu yana mkazo. sawa na leo nikupe kiasi cha pesa milioni 500 ufanye biashara ambayo ufahamu wa kuendesha baishara ya milioni 500 ukakosaIvi anajua na gharama ya kuyachimba?
Point ya swali lako ni nini?Ivi anajua na gharama ya kuyachimba?
" gharama inaweza kuwa ndogo"Gharama inaweza kuwa ndogo kama maarifa ya elimu yana mkazo. sawa na leo nikupe kiasi cha pesa milioni 500 ufanye biashara ambayo ufahamu wa kuendesha baishara ya milioni 500 ukakosa
Kununua vifaa tofautisha na uwendeshaji wake.Jifunze ili mfano ATCL" gharama inaweza kuwa ndogo"
Kha hiyo una guess huna uwakika?
Mining is among intensive capital industry Period!
Labda kama haupo serious, ungejua hata bei ya digger moja na operation cost usingeongea
Hujui kitu. Wewe endelea na upimaji kwenye madini usiingie ingie. Endelea na matangazo yako.Kununua vifaa tofautisha na uwendeshaji wake.Jifunze ili mfano ATCL
View attachment 2978068
Naomba tujifunze kupitia kwako ili kujua changamoto unazoelewaHujui kitu. Wewe endelea na upimaji kwenye madini usiingie ingie. Endelea na matangazo yako.
Soko linaamuliwa na sisi wenye madini ama wateja??Gharama inaweza kuwa ndogo kama maarifa ya elimu yana mkazo. sawa na leo nikupe kiasi cha pesa milioni 500 ufanye biashara ambayo ufahamu wa kuendesha baishara ya milioni 500 ukakosa
Umeongea kiufudi ufudi sana. Sio kifact kaama mjiolojia.Naomba tujifunze kupitia kwako ili kujua changamoto unazoelewa
Uwekezaji kwenye sekta ya madini unahitaji mtaji, umakini na uaminifu mkubwa sana!!Umeongea kiufudi ufudi sana. Sio kifact kaama mjiolojia.
Sina muda fanya utafiti wako, everything is open
Sekta ya madini inawezekana unaelewa vizuri changamoto zake ili watu wapate kufahamu kupitia jukwaa hiliUmeongea kiufudi ufudi sana. Sio kifact kaama mjiolojia.
Sina muda fanya utafiti wako, everything is open
Lazima serikali itie mkono wake ili iwezekane!!Sekta ya madini inawezekana unaelewa vizuri changamoto zake ili watu wapate kufahamu kupitia jukwaa hili
Umeongea kiufudi ufudi sana. Sio kifact kaama mjiolojia.
Sina muda fanya utafiti wako, everything is open
Point ya swali lako ni nini?
Kwahiyo unashauri nini kifanyike?Asiwazee faidaa tu ajue kuna nguvu kubwa kuliko hata hio faida inahitajika
Kutokuangalia video na kukimbilia kucomment ni ujinga wako binafsiKuilisha dunia na nini ? Kwani sasa hivi kama Afrika tunafanya nini ? Mnufaika mara zote ni yule anayepanga bei / unayemuuzia ndio maana mpaka leo mkulima na kazi yake ngumu mnufaika ni mlanguzi.... Sorry sijaangalia Video nimesoma heading yako (huenda kutokuangalia video nayo ni muendelezo wa sera mbovu za hii Awamu)
View attachment 2978105