Mkikuyu- Akili timamu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 4,310
- 7,464
Wakuu..
Hivi Mikenya ina kwama wapi? Mafuta ghafi duniani sasa ni ya kumwaga..Wanunuzi wanalipwa $37 na wachimbaji agalau wawaondolee mafuta kwa matenki yao..
Nchi ya GDP wako bize kusafirisha mashehena ya mafuta kutoka turkana kwenda mombasa😂😂
Meanwhile...Nchi ya Tanzania inaendelea kunawili baada ya soko la dhahabu kupanda maradufu💪💪💪
=====
Hivi Mikenya ina kwama wapi? Mafuta ghafi duniani sasa ni ya kumwaga..Wanunuzi wanalipwa $37 na wachimbaji agalau wawaondolee mafuta kwa matenki yao..
Nchi ya GDP wako bize kusafirisha mashehena ya mafuta kutoka turkana kwenda mombasa😂😂
Meanwhile...Nchi ya Tanzania inaendelea kunawili baada ya soko la dhahabu kupanda maradufu💪💪💪
=====