HULILO
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 281
- 391
Atashinda tu maana iko wazi ccm kwa upande ule imeshakua chakavu sawa sawa (in Maalim voice)mwez wa tatu bila shaka....
hiv maalim atashinda tena kwa mara ya pili?
Atashinda tu maana iko wazi ccm kwa upande ule imeshakua chakavu sawa sawa (in Maalim voice)mwez wa tatu bila shaka....
hiv maalim atashinda tena kwa mara ya pili?
Kweli mna moyo aiseeee.....
Kwa hakika mngejua kwamba mwenyewe ni Mwanaume
ila hili jukwaa kiboko yake, mada imetupiliwa mbali kidizaini
Kama huyo hayupo endelea na mwanamke yoyote anayepitapita hapa...
Preta mtoto wa Arusha njoo hapa Tengeru, achana na ma-Vampire yatakunyonya damu bure. Tena fimbo ya mbali haiui nyoka, jamaa yupo huko Lindi. Achana nae.
Ameshafika...kazi ni kwako...Ngoja nichekicheki. . .Huyu flora msoffe huyu tatizo anaonekana mlevi huyu. . Angefaa huyu
sasa jomba si unyoroshe maneno?...aje Tengeru sehemu gani...au gesti gani!Preta mtoto wa Arusha njoo hapa Tengeru, achana na ma-Vampire yatakunyonya damu bure. Tena fimbo ya mbali haiui nyoka, jamaa yupo huko Lindi. Achana nae.
Haa haah, we jamaa unapenda sana ushenga. Kwangu washenga hawana nafasi, mambo yote namaliza mwenyewe. Maelezo mengine tutapeana mim na Preta, nyie vijana wa mererani hamchelewi kuchomoa mapaja ya kuku mkifumania.sasa jomba si unyoroshe maneno?...aje Tengeru sehemu gani...au gesti gani!
Mtoto hana shida huyo!...kwa maelezo zaidi tuwasiliane kama vp nikufikishie mzigo hadi chumbani!
Kwani uongo? Wewe haupo Arusha. Kuja Arusha mpaka safari ya kikazi na JPM anazipunguza kwa kasi ya ajabu. Preta hawezi kukusubiria hadi uje kikazi kwenye maonesho ya nane nane hapo Agosti.Acha husda
Watu mna ukorofi sana eeeh......
Daaaahhhh....Achana nao my love,
Sasa Preta ujue mi nakuonaga sku nyingi tu humu,
Nakuzimia balaa, huwezi kushinda njaa, njoo nkupe chapaa, uwaringishie kitaa
Jina lako ni tam, mpaka napata ham, ya kukuomba utam, mpk nikutoe dam
(hapo kwenye dam natania tu)
Nikubali uwe wangu, uwe mwandani wangu, mtamu kama changu, njoo uchezee rungu
Nipe hambalulu, isiwe inaua kama ya lulu, nikujengee hekalu, ule ugali na nswalu
Pretaaaaa oooooh pretaaaaa nipe hambaluluuuu
Preta ooooh Pretaaa nihurumieeeee