Poshy Queen amkana Dj Seven

Mjanja M1

JF-Expert Member
Oct 7, 2018
3,720
12,573
Mwanadada mrembo Poshy Queen ameandika maneno yanayoonekana ni kama kumkana aliewahi kuwa Mpenzi wake Dj Seven.

Snapinsta.app_421517155_18410969836022564_2750720786992573764_n_1080.jpg


Poshy amedai kuwa Seven alikuwa ni rafiki yake na hakuwahi kuwa Mpenzi wake kama jinsi watu wanavyosema.

Poshy kwasasa ni Mpenzi wa Mwanamuziki Harmonize, ambae alikuwa ni Boss wa Dj Seven.

Written by Mjanja M1
 
Mwanadada mrembo Poshy Queen ameandika maneno yanayoonekana ni kama kumkana aliewahi kuwa Mpenzi wake Dj Seven.

View attachment 2880299

Poshy amedai kuwa Seven alikuwa ni rafiki yake na hakuwahi kuwa Mpenzi wake kama jinsi watu wanavyosema.

Poshy kwasasa ni Mpenzi wa Mwanamuziki Harmonize, ambae alikuwa ni Boss wa Dj Seven.

Written by Mjanja M1
Kwahiyo Mkuu picha ndo imeshindikana kabisa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom