Mjanja M1
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 3,720
- 12,573
Mwanadada mrembo Poshy Queen ameandika maneno yanayoonekana ni kama kumkana aliewahi kuwa Mpenzi wake Dj Seven.
Poshy amedai kuwa Seven alikuwa ni rafiki yake na hakuwahi kuwa Mpenzi wake kama jinsi watu wanavyosema.
Poshy kwasasa ni Mpenzi wa Mwanamuziki Harmonize, ambae alikuwa ni Boss wa Dj Seven.
Written by Mjanja M1
Poshy amedai kuwa Seven alikuwa ni rafiki yake na hakuwahi kuwa Mpenzi wake kama jinsi watu wanavyosema.
Poshy kwasasa ni Mpenzi wa Mwanamuziki Harmonize, ambae alikuwa ni Boss wa Dj Seven.
Written by Mjanja M1