Police na ulinzi wao wa usiku umepotelea wapi- arusha!!!!!?????

Jethro

JF-Expert Member
Mar 23, 2009
2,219
370
Wana JF,

kumekuwa na wimbi kubwa la uvamizi katika nyumba za raia wengi hapa Arusha, Wezi hawa wanakuja kwa makundi makubwa kama watu 30 wanavamia nyumba kadhaaaa wanakomba vitu na wanapakia kwa Kenta na wanasepa.

Last 2 week huko ngulelo rafiki yangu na majirani wenzake walivamiwa na kundi la watu 30 waka iba vitu na wakasepa. Leo napo kumetokea matukio mengi huko Kijenge.

Nachokiwakilisha hapa ni kuwa siku hizi hatuzioni zile voda fasta za police yani pikipiki zao wanazotumia kwa ku patrol usiku huku mitaani kwetu na hata zile One Ten za Police zinazo park Phillips, Kijenge , Frence Corna, Mianzini hazionekani tena, tuanacho kiona tuu ni yale ma Land cruser mkonge yanazunguka ile jioni na wakikuta ume park mahali police wanashuka kama nzige na wana ku sumbua ni aje na wanaweza hata kukuwekea bangi au madawa ya kulevya ili wakupe kesi hili ninalo ushahidi nalo kabisaaa kwani walimfanyia rafiki yangu bahati nzuri alikuwa ananguvu ya wakubwa juuu na walishangaa order inakuja toa hao haraka sana. na rafiki yangu akaniambia wale jamaaa wakikukamata usiku usiombe, sasa kwa raia wa kawaida wanakufanyia hivi ila kwa wezi wala hawasumbuki nao kabisaa na kwa matukio wao hawapo kabisa wapo kutafuta pesa tuuuu kwa kunyanyasa raia wema.

Huko mikoani nako sijui kama je Police wetu hawa wa kulinda usiku wapo kweli au ilikuwa ni kanya boya mradi wa mtu ulipitishwa wa pikipiki nini?
 
Kwenye mikutano ya Chadema utaona jeshi la polisi lote lazima lifanye kazi ya ziada!
 
Kwenye mikutano ya Chadema utaona jeshi la polisi lote lazima lifanye kazi ya ziada!

hahahahahahahahahaha

KWELI KABISAAAAA

Police wanavuma tuu kwa hiyo mikutano ila kwenye ulinzi as kazi yaoooo hawapo kabisaaaa siku hizi ni Pesa mbele na Trafic ndio usiseme kila kona wana simamisha tu magari hovyo hovyo na kuomba pesa
 
Wana JF,

kumekuwa na wimbi kubwa la uvamizi katika nyumba za raia wengi hapa Arusha, Wezi hawa wanakuja kwa makundi makubwa kama watu 30 wanavamia nyumba kadhaaaa wanakomba vitu na wanapakia kwa Kenta na wanasepa.

Last 2 week huko ngulelo rafiki yangu na majirani wenzake walivamiwa na kundi la watu 30 waka iba vitu na wakasepa. Leo napo kumetokea matukio mengi huko Kijenge.

Nachokiwakilisha hapa ni kuwa siku hizi hatuzioni zile voda fasta za police yani pikipiki zao wanazotumia kwa ku patrol usiku huku mitaani kwetu na hata zile One Ten za Police zinazo park Phillips, Kijenge , Frence Corna, Mianzini hazionekani tena, tuanacho kiona tuu ni yale ma Land cruser mkonge yanazunguka ile jioni na wakikuta ume park mahali police wanashuka kama nzige na wana ku sumbua ni aje na wanaweza hata kukuwekea bangi au madawa ya kulevya ili wakupe kesi hili ninalo ushahidi nalo kabisaaa kwani walimfanyia rafiki yangu bahati nzuri alikuwa ananguvu ya wakubwa juuu na walishangaa order inakuja toa hao haraka sana. na rafiki yangu akaniambia wale jamaaa wakikukamata usiku usiombe, sasa kwa raia wa kawaida wanakufanyia hivi ila kwa wezi wala hawasumbuki nao kabisaa na kwa matukio wao hawapo kabisa wapo kutafuta pesa tuuuu kwa kunyanyasa raia wema.

Huko mikoani nako sijui kama je Police wetu hawa wa kulinda usiku wapo kweli au ilikuwa ni kanya boya mradi wa mtu ulipitishwa wa pikipiki nini?

polisi washachoka kila m2 anachukua chake mapema kwan chakufia nn?
 
Back
Top Bottom