Poleni sana ndugu zangu wa Dar es salaam kwa mvua zinazoendelea kunyesha

Tlaatlaah

JF-Expert Member
May 18, 2023
9,686
13,057
Athari za mvua kubwa zinazoendelea kunyesha huko na kusababisha mafuriko makubwa kutatiza masomo ya vijana, makazi mengi ya watu kujaa maji, miundombinu hususani ya barabara kuharibika, nishati ya umeme kutatizika, shughuli za uzalishaji, biashara na huduma za usafirishaji kuzorota pakubwa ni miongoni mwa changamoto chache kati ya nyingi mazopitia na zinazonifanya kuwaonea huruma na kuwapa pole nyingi sana....

yawezekana kuna zaid madhara ya haya niloyasema. Nawaombea Baraka na Neema za Mungu ziambatane na kuandamana nanyi nyote Daima mnapokabiliana na athari za mafuriko yanayotokana na mvua hizo kubwa 🐒

Zaid sana nawapa pole na kuwaombea nusra, waTanzania wa maeneo mbalimbali nchini, ambako pia, mvua ni nyingi na athari za mafuriko ni kubwa mathalani huko ufiji, Mbeya, Arusha, Manyara, Morogoro n.k

Mwenyezi Mungu Awape Nguvu, Maarifa na Ustahimilivu Wa Kulishi Jaribu Hilo Zito.
 
Mechi lazima ipigwe
IMG-20240425-WA0074.jpg
 
Athari za mvua kubwa zinazoendelea kunyesha huko na kusababisha mafuriko makubwa kutatiza masomo ya vijana, makazi mengi ya watu kujaa maji, miundombinu hususani ya barabara kuharibika, nishati ya umeme kutatizika, shughuli za uzalishaji, biashara na huduma za usafirishaji kuzorota pakubwa ni miongoni mwa changamoto chache kati ya nyingi mazopitia na zinazonifanya kuwaonea huruma na kuwapa pole nyingi sana....

yawezekana kuna zaid madhara ya haya niloyasema. Nawaombea Baraka na Neema za Mungu ziambatane na kuandamana nanyi nyote Daima mnapokabiliana na athari za mafuriko yanayotokana na mvua hizo kubwa 🐒

Zaid sana nawapa pole na kuwaombea nusra, waTanzania wa maeneo mbalimbali nchini, ambako pia, mvua ni nyingi na athari za mafuriko ni kubwa mathalani huko ufiji, Mbeya, Arusha, Manyara, Morogoro n.k

Mwenyezi Mungu Awape Nguvu, Maarifa na Ustahimilivu Wa Kulishi Jaribu Hilo Zito.
Nimeshanunua mtumbwi,acha iendelee kunyesha tuu!
 
Baada ya mvua hizi serikali ina kibarua kikubwa cha kukarabati miundombinu hasa barabara!.
Bara bara ya dar mtwara kwa mfano
For sure miundombinu hasa ya barabara imeathirika pakubwa,

na nadhani hatua za dharura za makusudi ikiwa ni pamoja na fungu au bajeti ya dharura itengwe kwaajili ya kurekebisha athari za mafuriko maeneo mbalimbali nchini 🐒
 
Back
Top Bottom