X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 9,726
- 12,342
kimfaacho mtu chake sindio wanajamiiforums enh nina uza pikipiki yangu aina ya Boxer bm 125. pikipiki hii imetengenezwa mwaka 2022 ikasajiliwa hapa Tanzania mwaka 2023 hivyo ina mwaka sasa tokea ianze kufanya kazi.
nilikuwa naitumia kwendea kazini tu. na vijisafari vidogo vidogo. hivyo sijawahi kuifungua engine kabisa.
haya kutokana na malalamiko ya member humu kuwa bei kubwa sana hivyo nimeshusha bei...
mwenye ako na tsh 1,900,000/= aje nimpe pikipiki
ipo DAR ES SALAAM... Mkoa wowote inakufikia...!
mawasiliano 0759170794
nilikuwa naitumia kwendea kazini tu. na vijisafari vidogo vidogo. hivyo sijawahi kuifungua engine kabisa.
haya kutokana na malalamiko ya member humu kuwa bei kubwa sana hivyo nimeshusha bei...
mwenye ako na tsh 1,900,000/= aje nimpe pikipiki
ipo DAR ES SALAAM... Mkoa wowote inakufikia...!
mawasiliano 0759170794