Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,938
- 221,371
Huyo Dickson Matata kaomba Uenyekiti wa Kanda ya Magharibi, huku Joseph Mbilinyi akiomba nafasi hiyo Kanda ya Nyasa.
Swali ni Je Watatoboa?
Unachangia Uzi huu huu?Ngoja tuone, mambo ya wamiliki wa magari ni mengi sana
View attachment 2989973
Huyo Dickson Matata kaomba Uenyekiti wa Kanda ya Magharibi, huku Joseph Mbilinyi akiomba nafasi hiyo Kanda ya Nyasa.
Swali ni Je Watatoboa?
Sugu ameshakuwa mzee kiasi hichoo??View attachment 2989973
Huyo Dickson Matata kaomba Uenyekiti wa Kanda ya Magharibi, huku Joseph Mbilinyi akiomba nafasi hiyo Kanda ya Nyasa.
Swali ni Je Watatoboa?
Labda unamuongelea Kangi Lugola.Sugu kama mganga wa kienyeji 😂
Hela hizoSugu ameshakuwa mzee kiasi hichoo??
Wakimaliza wakachangishe,wazipige kama za join the chain, ila wasimsahau mbowe kwenye mgao
Huyo Dickson Matata kaomba Uenyekiti wa Kanda ya Magharibi, huku Joseph Mbilinyi akiomba nafasi hiyo Kanda ya Nyasa.
Swali ni Je Watatoboa?
Usilie sasaWakimaliza wakachangishe,wazipige kama za join the chain, ila wasimsahau mbowe kwenye mgao
Masela wa Mbowe hao,chadema inaenda kufa
Huyo Dickson Matata kaomba Uenyekiti wa Kanda ya Magharibi, huku Joseph Mbilinyi akiomba nafasi hiyo Kanda ya Nyasa.
Swali ni Je Watatoboa?
Utapata kazi ya kubeba begi la mboweUsilie sasa
Hicho ndio kinakuliza?Utapata kazi ya kubeba begi la mbowe
Hata wewe utapewa mgao inaonekana unapenda pesa za bure.Wakimaliza wakachangishe,wazipige kama za join the chain, ila wasimsahau mbowe kwenye mgao