Pendekezo: Jina la mkongo wa taifa lifutwe haraka

Mr Q

JF-Expert Member
Aug 16, 2012
16,316
33,951
Huwezi ita swala la internet jina zuri hivyo halafu kumbe hata internet yenyewe huimiliki.

Taifa la watu zaidi ya milioni 50 tunashindwa kuwa na internet yetu wenyewe?

Akitokea kichaa mmoja tu huko internet tunako nunua akakata waya mchi mzima mtandao unayumba?

Anyway wajuvi najua mtakuja kujimwambafy hapa kuhusu nani mmiliki wa internet lakini mkae mkijua swala la mtandao kuyumba mchi nzima kama taifa tumetia aibu.
 
Mtu anasema akitokea kichaa mmoja, sasa hapo mkonga ulivyokata ndo tukawa sasa na intenet yetu wenyewe wewe umeona kilichotokea tulipokuwa na intenet yetu wenyewe
Kwamba?
 
Huwezi ita swala la internet jina zuri hivyo halafu kumbe hata internet yenyewe huimiliki.

Taifa la watu zaidi ya milioni 50 tunashindwa kuwa na internet yetu wenyewe?

Akitokea kichaa mmoja tu huko internet tunako nunua akakata waya mchi mzima mtandao unayumba?

Anyway wajuvi najua mtakuja kujimwambafy hapa kuhusu nani mmiliki wa internet lakini mkae mkijua swala la mtandao kuyumba mchi nzima kama taifa tumetia aibu.
Tanzania bado tuna safari ndefu sana.
 
Huwezi ita swala la internet jina zuri hivyo halafu kumbe hata internet yenyewe huimiliki.

Taifa la watu zaidi ya milioni 50 tunashindwa kuwa na internet yetu wenyewe?

Akitokea kichaa mmoja tu huko internet tunako nunua akakata waya mchi mzima mtandao unayumba?

Anyway wajuvi najua mtakuja kujimwambafy hapa kuhusu nani mmiliki wa internet lakini mkae mkijua swala la mtandao kuyumba mchi nzima kama taifa tumetia aibu.
Mkuu hili suala lipo nje ya uwezo wetu na halihusiani na Mkonga.

Mkonga wa Taifa ni Fiber networks ambazo zina run humu humu nchini kwetu, hii picha ya Mkonga wa Taifa

images.jpeg

Hizo waya ndio zinasaidia watoa huduma za Internet kwa minara yao kuconect nazo na kuweza kusupply internet nchi nzima.

Ili kuconect na Dunia sasa hautumiki Mkonga bali waya za Baharini, na kila mtoa huduma anatumia waya wale anaotaka yeye mwenyewe. Hizi waya za Baharini nazo.

image7.png

Mwanzo nilifikiri ni waya mmoja imekatwa na Isp wote wanatumia huo waya ila ni waya nyingi zimekatwa na Meli, waya Wa Seacom, Essay etc km 45 toka South Africa,

Kampuni ilionusurika ni Tigo sababu ina waya ambao unapitia Madagascar, ila sababu nchi ni kubwa, nchi nzima kupitia Madagascar ndio maana internet ikawa slow sana.

Source cloudflare
 
Mkuu hili suala lipo nje ya uwezo wetu na halihusiani na Mkonga.

Mkonga wa Taifa ni Fiber networks ambazo zina run humu humu nchini kwetu, hii picha ya Mkonga wa Taifa

View attachment 2989641
Hizo waya ndio zinasaidia watoa huduma za Internet kwa minara yao kuconect nazo na kuweza kusupply internet nchi nzima.

Ili kuconect na Dunia sasa hautumiki Mkonga bali waya za Baharini, na kila mtoa huduma anatumia waya wale anaotaka yeye mwenyewe. Hizi waya za Baharini nazo.

View attachment 2989642
Mwanzo nilifikiri ni waya mmoja imekatwa na Isp wote wanatumia huo waya ila ni waya nyingi zimekatwa na Meli, waya Wa Seacom, Essay etc km 45 toka South Africa,

Kampuni ilionusurika ni Tigo sababu ina waya ambao unapitia Madagascar, ila sababu nchi ni kubwa, nchi nzima kupitia Madagascar ndio maana internet ikawa slow sana.

Source cloudflare
Waya wa kwanza kutandazwa ulitokea nchi gani? Nikimaanisha huko ulikotoka ndio kitovu na kumbe hata sisi tungeweza kuwa kitovu halafu wengine wafuatie you get my point?
 
Waya wa kwanza kutandazwa ulitokea nchi gani? Nikimaanisha huko ulikotoka ndio kitovu na kumbe hata sisi tungeweza kuwa kitovu halafu wengine wafuatie you get my point?
kwa nnavyojua hizo fiber hazina source wala destination, ni mfumo wa point-to-point (tuma/pokea)
ukisema kuwe na internet yenu wenyewe nchini, kwa mantiki hii servers zilizo nje ya nchi hutaweza zi-access
 
Tatizo kubwa zaidi ni kwamba hakuna service ambazo zipo hosted ndani ya nchi karibia kila kitu kinategemea server ambazo ziko nje, kunabidi kuwe na effort ya kuwa na service za ndani mfano wa China na Urusi labda bila kublock za nje.
 
Waya wa kwanza kutandazwa ulitokea nchi gani? Nikimaanisha huko ulikotoka ndio kitovu na kumbe hata sisi tungeweza kuwa kitovu halafu wengine wafuatie you get my point?
Hatutoweza kuwa kitovu , content unazo zi access kwenye internet zote zinaanzia huko, sicial medias, systems,IOTs na kadhalika.
As far as concerned tz hatuna kapacity hiyo, hatuna cha ku offer dunia kwenye digital world
 
Huwezi ita swala la internet jina zuri hivyo halafu kumbe hata internet yenyewe huimiliki.

Taifa la watu zaidi ya milioni 50 tunashindwa kuwa na internet yetu wenyewe?

Akitokea kichaa mmoja tu huko internet tunako nunua akakata waya mchi mzima mtandao unayumba?

Anyway wajuvi najua mtakuja kujimwambafy hapa kuhusu nani mmiliki wa internet lakini mkae mkijua swala la mtandao kuyumba mchi nzima kama taifa tumetia aibu.
Ngoja yanga waje wakusikie m napitatu
 
Huwezi ita swala la internet jina zuri hivyo halafu kumbe hata internet yenyewe huimiliki.

Taifa la watu zaidi ya milioni 50 tunashindwa kuwa na internet yetu wenyewe?

Akitokea kichaa mmoja tu huko internet tunako nunua akakata waya mchi mzima mtandao unayumba?

Anyway wajuvi najua mtakuja kujimwambafy hapa kuhusu nani mmiliki wa internet lakini mkae mkijua swala la mtandao kuyumba mchi nzima kama taifa tumetia aibu.
Huwezi kuwa na internet yako. Mabara yote yanungwa Kwa cables zinazopita chini ya bahari
IMG_20240514_075539.jpg
 
Huwezi ita swala la internet jina zuri hivyo halafu kumbe hata internet yenyewe huimiliki.

Taifa la watu zaidi ya milioni 50 tunashindwa kuwa na internet yetu wenyewe?

Akitokea kichaa mmoja tu huko internet tunako nunua akakata waya mchi mzima mtandao unayumba?

Anyway wajuvi najua mtakuja kujimwambafy hapa kuhusu nani mmiliki wa internet lakini mkae mkijua swala la mtandao kuyumba mchi nzima kama taifa tumetia aibu.
Hiyo ni lugha ya kiswahili tu lakini ina jina lake halisi
 
Waya wa kwanza kutandazwa ulitokea nchi gani? Nikimaanisha huko ulikotoka ndio kitovu na kumbe hata sisi tungeweza kuwa kitovu halafu wengine wafuatie you get my point?
Internet haina PA kuanzia wala PA kuishia, ni muunganiko tu wa Computer Dunia nzima, hakuna kitovu, ukiingia Tiktok, Aliexpress ama Alibaba basi waya wa kwenda China utahusika, ukiingia Amazon basi waya wa kwenda Usa unahusika etc.
 
Back
Top Bottom