ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 44,536
- 51,383
Rwanda Kupitia bwana Paulo Kagame imeendelea kuipapasa na kuiparura DRC Kwa namna tofauti ikiwemo kufanya Mauaji ya kiholela,kuteka Miji na Vijiji na kupora Mali Kupitia tawi la M23 lakini wababe wa Dunia wakiobhizwa na US wameishia kulaumu huku Wakiwa wanaogopa Rwanda.
View: https://twitter.com/VOAAfrica/status/1786840358531518541?t=lsQYNLfYMUZBrGQr6kt37Q&s=19
My Take
Kagame ameikuza Rwanda na kuwa Nchi mahiri ya kimedani kiasi kwamba Kila Jeshi linalotunwa Mashariki ya Congo huingia na wasiwasi.
Way forward
1.Labda wawa train wanajeshi wa DRC na kuwapa silaha ndio wapambane na hao M23/Rwanda ambao wamezoea hayo mazingira.
2.Waombe Msaada kwa Russia/Wegner kama Burkinabe,Niger,Mali nk.
View: https://twitter.com/zoomafrika1/status/1786801126752264685?t=om1lU3fJTtgcP3U4glm25w&s=19
View: https://twitter.com/VOAAfrica/status/1786840358531518541?t=lsQYNLfYMUZBrGQr6kt37Q&s=19
My Take
Kagame ameikuza Rwanda na kuwa Nchi mahiri ya kimedani kiasi kwamba Kila Jeshi linalotunwa Mashariki ya Congo huingia na wasiwasi.
Way forward
1.Labda wawa train wanajeshi wa DRC na kuwapa silaha ndio wapambane na hao M23/Rwanda ambao wamezoea hayo mazingira.
2.Waombe Msaada kwa Russia/Wegner kama Burkinabe,Niger,Mali nk.
View: https://twitter.com/zoomafrika1/status/1786801126752264685?t=om1lU3fJTtgcP3U4glm25w&s=19