Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,627
- 21,470
Ha ha ha ha ha nimesikia mtoto wa Pfunky Majani na Kajala Masanja, Paula amepata division zero katika matokeo yake ya kidato cha nne yaliyotangazwa jana.
Unaambiwa tangu matokeo yatangazwe Paula hana amani kabisa,kula hali hana furaha kabisa yani kutokana na kuvurunda katika matokeo yake.
Nitawajuza zaidi ngoja niendelee kupeleleza zaidi na zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaambiwa tangu matokeo yatangazwe Paula hana amani kabisa,kula hali hana furaha kabisa yani kutokana na kuvurunda katika matokeo yake.
Nitawajuza zaidi ngoja niendelee kupeleleza zaidi na zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app